Soma taratibu kisa hiki kilichonitokea kisha nishauri

Unaposema mpaka atakaporudi utaongeza Tatizo,na huko shule vijana wengi huanza na kuwa jiwe kwenye huyo tabia,ili kumuokoa ndogo wako usiyefahamu Kama naye kajiingiza huko kwanini usiende?hawaruhusu kutembelea wanafunzi?watoto?wadogo zenu?
Wanaruhusu kutembelea ila kuna siku maalum itabidi niulizie ikiwezekana niende maana napata mawazo sana juu yake inabidi nipate uhakika
 
Usiseme mdogo wako rama hafahamu na Ni marafiki tu kumbuka rama (mdogo wako )Yuko form 2 na huyo (gay)amemaliza form 4 yaan hapo jiulize urafiki wao umejengwa na Nini wakati Kuna gap kubwa age,elimu baina yake na mdogo wako maana kwa umri wao sio rahisi wao kuwa na urafiki wa karibu kiasi hiko

Usikute mdogo wako ndio shostito wake
Usikute mdogo wako ndio babe wake.

Ushauri .
Kwakuwa huyo kagoma kukueleza ulipojaribu kumbana Kama mdogo wako anayafahamu kuhusu yeye bhas na kwakuwa una ushahidi 100% huyo dogo ni bobrisky bhas Cha kufanya Ili kumuokoa mdogo wako kutoka kwenye Hilo janga muite rama(mdogo wako) nenda direct kwa kumbana mwambie huyu rafiki yako Yuko Hivi(gay) na ameniambia kuhusu wewe kila kitu je umeànza lini urafiki na huyu,atafunguka yote(kumbuka sura ya ukauzu kidogo Ili ajue uko serious)
Ushauri mzuri nitabidi nimuulize
 
Wanaruhusu kutembelea ila kuna siku maalum itabidi niulizie ikiwezekana niende maana napata mawazo sana juu yake inabidi nipate uhakika
Fanya hivyo kwa haraka Sana (kumbuka unapoenda kuongea nae jifanye unafahamu kila kitu) hofu yake ndio majibu yake kwako.
 
Kila mtu kampatia ushauri mzuri na unafaa ,kazi iliyobaki ni yeye kuchukua hatua mapema.

Jibu rahisi tu ambalo ameshindwa kufahamu kuwa nae mdogo wake ni mhusika wa Hilo janga kwa namna moja or nyingine Ni hili;-

Wakati anasifiwa kwa mara ya Kwanza walipokuwa ndani ya duka,kwanini huyo dogo gay hakuona aibu kumsifia kaka mtu mbele ya mdogo mtu?

Kwanini mdogo mtu hakushtuka?na hakuoneshwa kuchukizwa na tabia ya rafiki yake kumsifia kaka yake yote hayo ? Kama mdogo mtu angekuwa na haiba za kiume angemwambia hapo hapo
Mleta uzi kwa ninavyoona kaleta uzi ili aonekane ni moja kati ya watu walikutana na habari za kuhuzunisha lakini hayuko tayari kusaidia kwa namna moja au nyingi kuokoa watoto wengine.

Na anaendelea kuweka ugumu kuwa hata mdogo wake anaweza kuwa mhanga mkubwa wa hili tatizo..yani Kwa ufupi ni kwamba..anazuia mafuriko kwa chandarua.

Lakini pia,amesahau kuwa bado nae ni mzazi na ataendelea kuwa mzazi.Mungu anaweza kumbariki mtoto wa kiume pia.

Mleta uzi samahani kama nitakukwaza,naomba unisamehe tu..
Uzi wako ni mzito lakini majibu yako ni mepesi sana.binafsi yananifikirisha pia.

wema ni akiba,huruma,matendo mema kwa wengine ni akiba.inaweza kuwa hiyo akiba ya mema usiipate wewe..wakaja kuipata watoto wako au watoto wa watoto wako
 
Kuna sababu umezitoa hapo hazina Mashiko hata kidogo.na hizi sababu ulizozitoa inaonekana umeishia kusikitika tu lakini moyo haujapata kububujikwa kwa uchungu.Mungu wangu majibu yako ni mepesi

Kuna mkuu hapo juu kashauri kuwa unaweza kutafuta namba ya simu ya huyo baba wa mtoto ukazungumza nae hata kwa simu.

Chief haujaamua kuwaambia ukweli hao wa zazi wa huyo mtoto.

Man kama uko hapo kijijini tafadhali fanya kitu..kama peke yako ni ngumu basi zungumza na baba yako au anko wako mjue ni jinsi gani mtaweza kuzungumza na mzazi wa kiume wa huyo mtoto.wanaume kwa wanaume mkikaa mnaelewana.na uzuri ni kwamba voice note unayo itasaidia kwa kiasi fulani kuaminika.

Tafadhali ndugu yangu usikae kimya...okoa watoto wengine ambao bado hawajaharibika

Ohoooo Jesus
Dada yangu pole najua una uchungu kama mzazi yeyote anaweza kujisikia ukipata habari hizi ila Dada yangu hili suala ni zito sana,hata Mimi imenipa uchungu ndio maana nikaona nisikae nalo peke yangu labda nitajaribu kutafuta mawasiliano ya Baba yake maana mimi sina muda mrefu wa kukaa hapa halafu inaonekana baba yake anafanya kazi mji mwingine huwa anakuja mara kadhaa tu,au mwishoni mwa wiki
 
Tafuta namna uwaambie wazazi wake tu, au unaweza kuongea na mama yenu awafikishie ujumbe wazazi wake. Pia tafuta njia ya kuongea na wadogo zako, ongea nao vizuri i bet they know it wale watu ukikaa nao karibu utawajua tu!
Wadogo zako wafahamishe, waonye na wajue kabisa wanajumuika na mtu wa aina gani maana ni mwenzao ambae wanakutana nae mara kwa mara!

Ila nimeumia sana hapo alipokuja kununua condomtu, angenikuta mimi asingeipata kabisa bila shaka imeenda kumtoa kilio huko alikoenda!!
Nae akamuuzi bila wasiwasi 🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺💔💔💔
 
Dada yangu pole najua una uchungu kama mzazi yeyote anaweza kujisikia ukipata habari hizi ila Dada yangu hili suala ni zito sana,hata Mimi imenipa uchungu ndio maana nikaona nisikae nalo peke yangu labda nitajaribu kutafuta mawasiliano ya Baba yake maana mimi sina muda mrefu wa kukaa hapa halafu inaonekana baba yake anafanya kazi mji mwingine huwa anakuja mara kadhaa tu,au mwishoni mwa wiki
Chief hujapata uchungu aise.ungepata uchungu usingetoa majibu mepesi hata kidogo..ungenilifikiria hili swala kwa watoto wengine..ni lazima ungetafuta njia inyeshe mvua ama jua ili kuokoa watoto wengine

Usipofanya kitu Chief nakuhakikishia huu mzigo hautaweza kuutua.

Pengine Mungu Amekutumia wewe ili uweze kuokoa watoto wengine 🥺🥺🥺🥺
 
CHUKUA HATUA HARAKA ILI KUSAIDIA NA WEWE KUEPUSHA KUKUGHARIMU

mimi iliwahi nipata situation kama yako mahali fulani tena mara karibia tatu( wote ni watoto wa kichaga....sijui kuna uhusiano gani na watu wa moshi na arusha kwenye hili hata story za watu zinasema hivyo)

Wawili niliishia kuwashauri mimi pamoja na watu kadhaa wakadai kuacha....sielewi kama wameacha

Huyu wa tatu nitamuita Leon ingawa sio jina lake halisi
Leon alikua anapenda sana kupiga story na mimi time hiyo Mimi niko form six yeye yuko form two japo tulikua tunakutana likizo( sisi ni jirani) ikawa muda fulani akawa anaomba nimfundishe as tuition hivi sikupinga kwa sababu ninapenda kufundisha ingawa profession ya ualimu sio hobby yangu ...basi leon akaanza story za hapa na pale mara akikukuta anakuuliza umekula ukimjibu sijala anasema najua kupika tukiwa wawili ntakupikia mambo yakawa yanazidi kua mengi zaidi ikafikia nyakati akataka kuvuka mipaka akanitamkia ananipenda nikamueleza nakupenda pia kwa sababu binadamu wote tunatakiwa tupendane kwa amri ya Mungu yeye akasema ananipenda anataka awe submissive kwangu hilo neno submissive lilinishtua kidogo na that day nilihamaki baada ya kushikwa dhakari,nilikasirika hasira ikapanda ,lakini nikaamua kushusha hasira nijue mengi nilijua mengi na kifupi alianza shule na malezi yake pia yalichangia kwao yeye ni wakiume pekee na kwa mujibu wa maelezo yake anaweza kuingia room ya dada zake na akawakuta wako waziwazi na wala wasimfukuze na nyakati zingine anaweza sifia nguo au viatu vya kike akipita mdada mwisho nilimuweka chini kumshauri akaonekana kuelewa ingawa alikua anaomba sana msamaha kwao wasijue kwa sababu yule mzee Munishi angemuua kwa maelezo yake

Baada ya pale sijui alipata wapi namba yangu alikua ananihamasisha japo nimfanye tu hata asipokua na mimi kwenye mahusiano nimeblock namba zake nyingi sana ikafika hatua akawa kama kachoka juzi amenitafuta Instagram anasema yuko Udsm na anajihusisha na modeling,

NB; Modeling ni uwanja wa mashoga yafanyikayo huko mungu anajua na kwa maana hiyo sidhani kama ameacha huyu

Hiyo ni story iliyonisibu lengo na kuandika hapa
1.moja shirikisha wazazi wake vyema wajue ili umsaidie na uwasaidie
2.kuwashikisha wazazi wake kutakutoa wewe kwenye matatizo kwa sababu kuna siku nilipigiwa sim na mtu akisema ni dada ake leon akawa anasema amechukua namba nyingi kwenye sim ya leon ambazo anazihisi zina mawasiliano yenye viashiria vya mahusiano aidha kwa hao watu kumtaka huyo leon au huyo leon kuwataka ilinichukua muda kuaminika ikawa ni kutuma screenshot za chatings kila wakati ili kuaminisha kwamba sihusiki

Hivyo cha msingi shirikisha wazazi wake itakusaidia wewe,wao na huyo dogo pamoja na kizazi kingine

Usisahau kushughulika na wadodo zako akili yangu inaniambia kuna mshiriki mmoja kati ya hao wawili
 
CHUKUA HATUA HARAKA ILI KUSAIDIA NA WEWE KUEPUSHA KUKUGHARIMU

mimi iliwahi nipata situation kama yako mahali fulani tena mara karibia tatu( wote ni watoto wa kichaga....sijui kuna uhusiano gani na watu wa moshi na arusha kwenye hili hata story za watu zinasema hivyo)

Wawili niliishia kuwashauri mimi pamoja na watu kadhaa wakadai kuacha....sielewi kama wameacha

Huyu wa tatu nitamuita Leon ingawa sio jina lake halisi
Leon alikua anapenda sana kupiga story na mimi time hiyo Mimi niko form six yeye yuko form two japo tulikua tunakutana likizo( sisi ni jirani) ikawa muda fulani akawa anaomba nimfundishe as tuition hivi sikupinga kwa sababu ninapenda kufundisha ingawa profession ya ualimu sio hobby yangu ...basi leon akaanza story za hapa na pale mara akikukuta anakuuliza umekula ukimjibu sijala anasema najua kupika tukiwa wawili ntakupikia mambo yakawa yanazidi kua mengi zaidi ikafikia nyakati akataka kuvuka mipaka akanitamkia ananipenda nikamueleza nakupenda pia kwa sababu binadamu wote tunatakiwa tupendane kwa amri ya Mungu yeye akasema ananipenda anataka awe submissive kwangu hilo neno submissive lilinishtua kidogo na that day nilihamaki baada ya kushikwa dhakari,nilikasirika hasira ikapanda ,lakini nikaamua kushusha hasira nijue mengi nilijua mengi na kifupi alianza shule na malezi yake pia yalichangia kwao yeye ni wakiume pekee na kwa mujibu wa maelezo yake anaweza kuingia room ya dada zake na akawakuta wako waziwazi na wala wasimfukuze na nyakati zingine anaweza sifia nguo au viatu vya kike akipita mdada mwisho nilimuweka chini kumshauri akaonekana kuelewa ingawa alikua anaomba sana msamaha kwao wasijue kwa sababu yule mzee Munishi angemuua kwa maelezo yake

Baada ya pale sijui alipata wapi namba yangu alikua ananihamasisha japo nimfanye tu hata asipokua na mimi kwenye mahusiano nimeblock namba zake nyingi sana ikafika hatua akawa kama kachoka juzi amenitafuta Instagram anasema yuko Udsm na anajihusisha na modeling,

NB; Modeling ni uwanja wa mashoga yafanyikayo huko mungu anajua na kwa maana hiyo sidhani kama ameacha huyu

Hiyo ni story iliyonisibu lengo na kuandika hapa
1.moja shirikisha wazazi wake vyema wajue ili umsaidie na uwasaidie
2.kuwashikisha wazazi wake kutakutoa wewe kwenye matatizo kwa sababu kuna siku nilipigiwa sim na mtu akisema ni dada ake leon akawa anasema amechukua namba nyingi kwenye sim ya leon ambazo anazihisi zina mawasiliano yenye viashiria vya mahusiano aidha kwa hao watu kumtaka huyo leon au huyo leon kuwataka ilinichukua muda kuaminika ikawa ni kutuma screenshot za chatings kila wakati ili kuaminisha kwamba sihusiki

Hivyo cha msingi shirikisha wazazi wake itakusaidia wewe,wao na huyo dogo pamoja na kizazi kingine

Usisahau kushughulika na wadodo zako akili yangu inaniambia kuna mshiriki mmoja kati ya hao wawili
Huko uliko Mungu aendelee kukutunza Chief 🤛🤛
 
Tafuta namna uwaambie wazazi wake tu, au unaweza kuongea na mama yenu awafikishie ujumbe wazazi wake. Pia tafuta njia ya kuongea na wadogo zako, ongea nao vizuri i bet they know it wale watu ukikaa nao karibu utawajua tu!
Wadogo zako wafahamishe, waonye na wajue kabisa wanajumuika na mtu wa aina gani maana ni mwenzao ambae wanakutana nae mara kwa mara!

Ila nimeumia sana hapo alipokuja kununua condom tu, angenikuta mimi asingeipata kabisa bila shaka imeenda kumtoa kilio huko alikoenda!!
Kuna wazo umenipa labda la kuongea na mama yangu halafu yeye alifikishe ngoja nitalifikiria maana mama kuna bidhaa Fulani huwa ananunua hapo kwenye duka lao(wana duka),Pili nadhani nitaongea na Denis ajue nini kinaendelea kwanza,

Sio siri nimepita dakika tano zilizopita hapo njiani(maana duka lao lipo njiani nimemsalimia Mama yake wakiwa na huyu Dogo kwa mbali lakini nimeshindwa hata kuwaangalia

Kuhusu hizo condom Jana jioni alikuja akasema hajatumia bado ila alienda kanisani kweli asubuhi
 

Similar Discussions

14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom