Ni wachumba wanaotarajia kufunga ndoaSijaelewa hapo Kwenye iyo conversation?
Hawa wanaochati Ni wanandoa wameachana wanataka kufungua Ndoa ambayo tayar awali ilikwisha vunjika?
Au
Ni wachumba wanaotarajia kufunga Ndoa kanisani?
Maandishi ya blue ni me ama ke?Ni
Ni wachumba wanaotarajia kufunga ndoa
Inaonekana mtoto wa kike analazimishwa au alilazimishwa kuolewa kwanguvu? Na jamaa hana say.Na hiyo ndoa inaonekana Dereva ni mwanamke hapo
Umeshasema waziri mkuu... wewe ni waziri mkuu?Mbona waziri mkuu na mkewe wanaishi poa tu
Kumbe mwanamke ameshazalishwa tena watoto watatu! Kiburi ya kuringa anatolea wapi?Blue
Blue ni me na black ni ke halafu wamezaa watoto watatu na wamekaa muda mrefu utamu huoooooo
Jf Ina memba laki sita Sasa mkuu ujueNahisi wewe ndiye huyu anayesemwa hapa. Kwa nn mnarushiana vijembe mkuu?
Amenichumbia lakini hataki Ndoa
Habari za asubuhi wakuu wote wa JF na hongereni kwa shughuli mbalimbali za kujenga taifa. Kilichonileta kwenu asubuhi hii ni kunisaidia mawazo ya hili nalopitia kwa sasa, mimi na mwenza wangu tuna miaka mitatu sasa tunaishi pamoja na ni mwaka mmoja wa kuchumbiwa. Kama mjuavyo, desturi zetu za...www.jamiiforums.com
Ndoa yao ni ya kiserikali?Mbona waziri mkuu na mkewe wanaishi poa tu