NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,003
aisee,acha tu mtani.Hamkawii kusajili Serunkuma mwingine
aisee,acha tu mtani.Hamkawii kusajili Serunkuma mwingine
Leo Simba Sc inaenda kufanya utambulisho ambao bara la Afrika na mabara ya jirani yataenda kusimama.
Bonus
Mambo anayofanya Peter Banda huko kambini ni hatari mpaka wenzake wanabaki wanashangaa
Mbwembwe tu hizo.Hakuna lolote.Muda si mrefu mtakimbiana na mtatafutana
Leo Simba Sc inaenda kufanya utambulisho ambao bara la Afrika na mabara ya jirani yataenda kusimama.
Bonus
Mambo anayofanya Peter Banda huko kambini ni hatari mpaka wenzake wanabaki wanashangaa
Simba wamesajili mlinzi kutoka Taliban afaghanistan
Nyie ongopeaneni tu.messi kwao kule kuna level seat
Yanga ni ya wananchi, Simba ni ya wenye nchi. Wananchi watapiga kelele, wenye nchi wataamua. Kama hutaki hamia BurundiKwani wachezi 12 wa kigeni bado Simba hawajafikisha?
Mi nilihisi CR7Mnamchukua Lewandoski ama?
mkala ngapiDuka la mikia hilo,alimtengea chama ndani ya 18 pambavu
Wenye nchi hawajawahi kuwashinda wananch wanapoamua kusimama!Yanga ni ya wananchi, Simba ni ya wenye nchi. Wananchi watapiga kelele, wenye nchi wataamua. Kama hutaki hamia Burundi
Oyaaa! 😂 😂HARRY KANE KUTUA MSIMBAZI. Ha ha haa
Oyaaa! Rage tena. 😂 😂Mnasimamisha Afrika na mchezaji asiyecheza michuano ya kimataifa kwa hatua mliyopo ama siyo!!Nimemkumbuka sana Mzee Rage
kwa hiyo kumbe hadi waamue? 🤣🤣🤣Wenye nchi hawajawahi kuwashinda wananch wanapoamua kusimama!
Unatumika vibaya wewe.Hizo posho mnazoipwa na Babra zinawatoa ufahamu .Taarifa za Simba zilikuwa zinatolewa na kunogeshwa kwa Mbwembwe na Manara.Leo Manara hayupo kumekuwa kukavu.Mzimu wa Manara utaitafuna sana tena sana Simba mtake msitake.Muda ni mwalimu mzuri bila shaka kwa sasa jambo hilo limeanza kujidhihirisha.Mlalo wa Mbele,Mlalo wa Nyuma,Mbendembende,Kifo Cha Mendeeeeee
Leo Simba Sc inaenda kufanya utambulisho ambao bara la Afrika na mabara ya jirani yataenda kusimama.
Bonus
Mambo anayofanya Peter Banda huko kambini ni hatari mpaka wenzake wanabaki wanashangaa