Ni kijana wa kiume, umri miaka 17, Elimu yake darasa la 7, kabila Mzigua, anaishi Mikocheni. Anatafuta kazi yoyote ile halali yenye kumuingizia kipato. Ana uzoefu wa kuuza duka la reja reja na jumla, ni mstarabu na mwaminifu sana.
...,Hapana Mkuu hyo tabia hana coz anaheshmu kaz yake then hapo kwa mwanzo aliachishwa kutokana na kutumia siku 5 kwenda kijijin kumjulia hali Mzazi wake aliekua Mgonjwa serious badala ya siku 3 alzopewa na hyo ilisababshwa na barabara kua mbovu kutokana na Mvua zinazoendelea kunyesha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.