Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 420
Ndugu wana Jf habarini za leo,
Nina ndugu yangu amefungwa miaka 15 tokea tarehe 8 mwezi wa pili mwaka huu kwa kosa la kupiga roba na kupora simu katika mahakama ya Mwanzo,ikumbukwe kua hukumu ilitolewa pasipo na ushahidi wa aina yoyote kwa mtuhumiwa,baada ya hukumu nilijitahidi kwenda huko nyumbani kwa wakwe zangu watarajiwa na kupata maelezo kamili ndipo nilipowashauri tukate rufaa kwa kipindi kilekile na kweli tulifanikiwa kesi ikaanza kusikilizwa upya kabisa huku mshitaki akishindwa kuhudhuria mahakamani kwa sababu mbalimbali na hata alipoambiwa atoe ushahidi au kuleta vidhibiti ameshindwa kufanya hvyo kadhalika,sasa leo ilikua cku ya hukumu kwa ile kesi lakn jana hakimu amemuita karani wa mahakama ambae tuna ukaribu nae na kumueleza kua pamoja na hii kesi namna ilivyo yule Mshitaki amempatia laki tano taslimu ili sheria ipindishwe na Hakimu amesema anaiahisha kesi mpaka tarehe 5 Oct ili afanye maamuzi yake anayoyajua yeye na leo ilikua ndio hukumu yenyewe,swali je tufanyeje wandugu maana sheria dhahiri inapindishwa hapa kwa mwenye hela na ukizingatia hakimu anamueleza kalani kua Mshitaki ameahidi kumuongezea fungu jingine je tufanyaje wapendwa kwa hali kama hii? Toa ushauri wako mpendwa kadiri uwezavyo kwani binafsi naumia sana kwa kesi hii.
Nina ndugu yangu amefungwa miaka 15 tokea tarehe 8 mwezi wa pili mwaka huu kwa kosa la kupiga roba na kupora simu katika mahakama ya Mwanzo,ikumbukwe kua hukumu ilitolewa pasipo na ushahidi wa aina yoyote kwa mtuhumiwa,baada ya hukumu nilijitahidi kwenda huko nyumbani kwa wakwe zangu watarajiwa na kupata maelezo kamili ndipo nilipowashauri tukate rufaa kwa kipindi kilekile na kweli tulifanikiwa kesi ikaanza kusikilizwa upya kabisa huku mshitaki akishindwa kuhudhuria mahakamani kwa sababu mbalimbali na hata alipoambiwa atoe ushahidi au kuleta vidhibiti ameshindwa kufanya hvyo kadhalika,sasa leo ilikua cku ya hukumu kwa ile kesi lakn jana hakimu amemuita karani wa mahakama ambae tuna ukaribu nae na kumueleza kua pamoja na hii kesi namna ilivyo yule Mshitaki amempatia laki tano taslimu ili sheria ipindishwe na Hakimu amesema anaiahisha kesi mpaka tarehe 5 Oct ili afanye maamuzi yake anayoyajua yeye na leo ilikua ndio hukumu yenyewe,swali je tufanyeje wandugu maana sheria dhahiri inapindishwa hapa kwa mwenye hela na ukizingatia hakimu anamueleza kalani kua Mshitaki ameahidi kumuongezea fungu jingine je tufanyaje wapendwa kwa hali kama hii? Toa ushauri wako mpendwa kadiri uwezavyo kwani binafsi naumia sana kwa kesi hii.