Soma hapa mwana Jf unisaidie

Laurence

JF-Expert Member
Jun 11, 2011
3,104
420
Ndugu wana Jf habarini za leo,
Nina ndugu yangu amefungwa miaka 15 tokea tarehe 8 mwezi wa pili mwaka huu kwa kosa la kupiga roba na kupora simu katika mahakama ya Mwanzo,ikumbukwe kua hukumu ilitolewa pasipo na ushahidi wa aina yoyote kwa mtuhumiwa,baada ya hukumu nilijitahidi kwenda huko nyumbani kwa wakwe zangu watarajiwa na kupata maelezo kamili ndipo nilipowashauri tukate rufaa kwa kipindi kilekile na kweli tulifanikiwa kesi ikaanza kusikilizwa upya kabisa huku mshitaki akishindwa kuhudhuria mahakamani kwa sababu mbalimbali na hata alipoambiwa atoe ushahidi au kuleta vidhibiti ameshindwa kufanya hvyo kadhalika,sasa leo ilikua cku ya hukumu kwa ile kesi lakn jana hakimu amemuita karani wa mahakama ambae tuna ukaribu nae na kumueleza kua pamoja na hii kesi namna ilivyo yule Mshitaki amempatia laki tano taslimu ili sheria ipindishwe na Hakimu amesema anaiahisha kesi mpaka tarehe 5 Oct ili afanye maamuzi yake anayoyajua yeye na leo ilikua ndio hukumu yenyewe,swali je tufanyeje wandugu maana sheria dhahiri inapindishwa hapa kwa mwenye hela na ukizingatia hakimu anamueleza kalani kua Mshitaki ameahidi kumuongezea fungu jingine je tufanyaje wapendwa kwa hali kama hii? Toa ushauri wako mpendwa kadiri uwezavyo kwani binafsi naumia sana kwa kesi hii.
 
Ndugu wana Jf habarini za leo,<br />
Nina ndugu yangu amefungwa miaka 15 tokea tarehe 8 mwezi wa pili mwaka huu kwa kosa la kupiga roba na kupora simu katika mahakama ya Mwanzo,ikumbukwe kua hukumu ilitolewa pasipo na ushahidi wa aina yoyote kwa mtuhumiwa,baada ya hukumu nilijitahidi kwenda huko nyumbani kwa wakwe zangu watarajiwa na kupata maelezo kamili ndipo nilipowashauri tukate rufaa kwa kipindi kilekile na kweli tulifanikiwa kesi ikaanza kusikilizwa upya kabisa huku mshitaki akishindwa kuhudhuria mahakamani kwa sababu mbalimbali na hata alipoambiwa atoe ushahidi au kuleta vidhibiti ameshindwa kufanya hvyo kadhalika,sasa leo ilikua cku ya hukumu kwa ile kesi lakn jana hakimu amemuita karani wa mahakama ambae tuna ukaribu nae na kumueleza kua pamoja na hii kesi namna ilivyo yule Mshitaki amempatia laki tano taslimu ili sheria ipindishwe na Hakimu amesema anaiahisha kesi mpaka tarehe 5 Oct ili afanye maamuzi yake anayoyajua yeye na leo ilikua ndio hukumu yenyewe,swali je tufanyeje wandugu maana sheria dhahiri inapindishwa hapa kwa mwenye hela na ukizingatia hakimu anamueleza kalani kua Mshitaki ameahidi kumuongezea fungu jingine je tufanyaje wapendwa kwa hali kama hii? Toa ushauri wako mpendwa kadiri uwezavyo kwani binafsi naumia sana kwa kesi hii.
<br />
<br />
 
Pole sana! Mshtakiwa hawez kushinda kesi bila kutoa ushahid,huyo ndugu yako anatakiwa atoe ushahid au atafute mashahidi wataoweza kumtetea aonekane hana hatia,ongea na wanasheria wakuu wajue cha kufanya kwa hao wanaotaka kupindisha sheria.
 
Pole sana! Mshtakiwa hawez kushinda kesi bila kutoa ushahid,huyo ndugu yako anatakiwa atoe ushahid au atafute mashahidi wataoweza kumtetea aonekane hana hatia,ongea na wanasheria wakuu wajue cha kufanya kwa hao wanaotaka kupindisha sheria.
<br />
<br />
Asante mkuu kwa ushauri wako
 
Mkuu kama mshtaki hana ushahidi na hajaleta mashahidi wake hiyo kesi imesimamia wapi na ni nini hakimu anachotegemea katika kutoa hukumu yake
Anategemea ushahidi upi wakati mshtaki hajaleta ushahidi wala mashahidi kuthibitisha shtaka
Na then Mahakama ya mwanzo haina uwezo wa kutoa hukumu ya miaka kumi na tano hiyo inatakiwa itolewe na kuthibitishwa na mahakama ya wilaya au mkoa
Na wewe itakapotokea lolote na kama kweli kuna ushahidi wa rushwa na ukitibitika bado una nafasi ya kukata rufaa mahakama ya juu zaidi na kama una ushahidi wa rushwa upeleke kunakohusika hata wa kunasa mazungumzo kati ya huyo karani na hakimu mhusika
Vile vile ongea na Wakili wa serikali akuambie na akupe mwenendo wa kesi na hali halisi ya kesi husika
 
Hapo mi naöna tumia ujanja wako wote elimu yako we utashinda ila cha msingi wa tumia njia yoyote uijuayo cha msingi upate mazungumzo ya kina na huyo kalani uyanasa vizuri nenda kwa watu wanaojua shelia wao watajua kipi ufanye na kipi usifanye ila usije ukaenda kwa watu wa kuzuia rushwa hao ni wamoja sili itavuja na watafikilia jinsi ya kukuangamiza wewe.pole sana usife moyo ndg yang ytaisha
 
Mkuu kama mshtaki hana ushahidi na hajaleta mashahidi wake hiyo kesi imesimamia wapi na ni nini hakimu anachotegemea katika kutoa hukumu yake<br />
Anategemea ushahidi upi wakati mshtaki hajaleta ushahidi wala mashahidi kuthibitisha shtaka<br />
Na then Mahakama ya mwanzo haina uwezo wa kutoa hukumu ya miaka kumi na tano hiyo inatakiwa itolewe na kuthibitishwa na mahakama ya wilaya au mkoa <br />
Na wewe itakapotokea lolote na kama kweli kuna ushahidi wa rushwa na ukitibitika bado una nafasi ya kukata rufaa mahakama ya juu zaidi na kama una ushahidi wa rushwa upeleke kunakohusika hata wa kunasa mazungumzo kati ya huyo karani na hakimu mhusika <br />
Vile vile ongea na Wakili wa serikali akuambie na akupe mwenendo wa kesi na hali halisi ya kesi husika
<br />
<br />
Mkuu asante sana kwa ushauri wako,inasemekana anaweza asiimalize hii kesi ati kwamba huyu mshitaki anadai kesi isije mgeukia lakn najitahidi kuonana na watu mbalimbali nipate ushauri wa kisheria maana ni kweli mshitaki ameshindwa kuleta ushahidi, da ila thanks mkuu
 
Hapo mi naöna tumia ujanja wako wote elimu yako we utashinda ila cha msingi wa tumia njia yoyote uijuayo cha msingi upate mazungumzo ya kina na huyo kalani uyanasa vizuri nenda kwa watu wanaojua shelia wao watajua kipi ufanye na kipi usifanye ila usije ukaenda kwa watu wa kuzuia rushwa hao ni wamoja sili itavuja na watafikilia jinsi ya kukuangamiza wewe.pole sana usife moyo ndg yang ytaisha
<br />
<br />
Thanks Eric kwa ushauri wako
 
Back
Top Bottom