Solved: App ya JamiiForums imeboreshwa (Android & iOS)..

Mods naomba mnisaidie hili
Mimi natumia jamii forums kwenye tapatalk ni nzuri zaidi
Mbona haina ignore topic kama kwenye tapatalk
 
Ndugu WanaJF,

Ni kweli kuna tatizo kidogo la kiufundi linaloathiri baadhi ya watumiaji, hivyo kushindwa kupokea notifications na baadhi ya features kwa wakati..

Hata hivyo mambo mazuri yanakuja. Tunafanyia kazi kuhakikisha changamoto hiyo na nyinginezo zote zinamalizika mapema iwezekanavyo..

Hakikisha unasanikisha maboresho mapya kila mara kwenye App yako..

Tunaomba uvumilivu wenu kidogo tu!
Asante sana ndugu moderator kwa maelezo yako muhimu !!.

Nishaur kitu kidogo ,, nivema muwe mnatupa taarifa ," kwamba ndugu wateja Wetu kuna maboresho tunayafanya hivo tunaomba samahani kwa usumbufu utakaojitokeza".

Nadhan hiyo ingekua haitupi wasiwasi kwakua tayar akili zetu mmeziandaa lkn hii ya kimya kimya , watu wana Uninstall app ,lkn wapi,sasa tunapata matumizi hasi ya MB !!

Vyuma vimekaza Mkuu.
 
Asante sana ndugu moderator kwa maelezo yako muhimu !!.

Nishaur kitu kidogo ,, nivema muwe mnatupa taarifa ," kwamba ndugu wateja Wetu kuna maboresho tunayafanya hivo tunaomba samahani kwa usumbufu utakaojitokeza".

Nadhan hiyo ingekua haitupi wasiwasi kwakua tayar akili zetu mmeziandaa lkn hii ya kimya kimya , watu wana Uninstall app ,lkn wapi,sasa tunapata matumizi hasi ya MB !!

Vyuma vimekaza Mkuu.
Asante kwa ushauri. Tutazingatia.
 
Ndugu WanaJF,

Ni kweli kuna tatizo kidogo la kiufundi linaloathiri baadhi ya watumiaji, hivyo kushindwa kupokea notifications na baadhi ya features kwa wakati..

Hata hivyo mambo mazuri yanakuja. Tunafanyia kazi kuhakikisha changamoto hiyo na nyinginezo zote zinamalizika mapema iwezekanavyo..

Hakikisha unasanikisha maboresho mapya kila mara kwenye App yako..

Tunaomba uvumilivu wenu kidogo tu!
OP ya kijani INA maana gani?? Tusiwe tunatumia kitu bila kujua.
 
Mkuu Elli, maboresho yaliyofanyika ni ya kiufundi kwa upande wa APP..

Huko kwenye threads unaweza kuripoti hayo maudhui ili yapitiwe na mods kama yanakiuka sheria za JamiiForums yashughulikiwe!

Asante sana kwa kutuunga mkono kwa kununua tisheti zetu.

Tupo pamoja!
Nitaipata wapi T shirt ya jamii forum?
Mie mdau mkubwa wa (J.F)
 
Naunga mkono hoja wakuu...
Hili tatizo nami linanikabili hata inapelekea kukosa hamu na ladha halisi nilio izowea.
Bila notifications jf members tuna barizi kama vipofu.....
Cc: Invisible na wengine nilio wasahau please mkuje
Hatimaye umerudi avatar yako huwa naiogopa
 
baba yeyoo nimecheka naona notification zimerudi

Hayo matatizo nafikiri mlipata nyie wenye vifaa advanced, sie wa Tecno tunaotumia browser tulikua tunapata kama kawaida. (Ila PM yako sijapata!!!!)
Ukicheka nafurahi ujue...nikutakie mchana mwema Mama Yeyoo
 
Hayo matatizo nafikiri mlipata nyie wenye vifaa advanced, sie wa Tecno tunaotumia browser tulikua tunapata kama kawaida. (Ila PM yako sijapata!!!!)
Ukicheka nafurahi ujue...nikutakie mchana mwema Mama Yeyoo
msisitizo wa pm yangu hujapata hivi lini unakuja uniletee ubuyu majuzi nilitumiwa ubuyu pakti 3 kuna rafiki yangu mmoja yupo huko anakujaga huku kuleta biashara zake
 
App yenu ni uchafu mtupu sijui kwanini mnahangaika na vitu vilivyowazidi uwezo? Nyie pambaneni na Facebook

app hamuwezi chochote hopeless kabisa
 
Pole sana na changamoto za maisha mkuu.
Binafsi sijaona sababu ya kuandika ulichokiandika.
Hahaha sasa nani mwenye changamoto huu uchafu wenu JF tumekua tukiulalamikia muda mrefu, liapplication lenyewe lina update kila dakika lakini cha maana hukuna, unapata notification za 1000 updates per day with nothing changed. Rubbish
 
msisitizo wa pm yangu hujapata hivi lini unakuja uniletee ubuyu majuzi nilitumiwa ubuyu pakti 3 kuna rafiki yangu mmoja yupo huko anakujaga huku kuleta biashara zake


We nielekeze tu niuache wapi? Utaupata next week. App ikitengamaa unaweza kupata alert PM hata weekend kwamba ubuyu umewasili.
 
We nielekeze tu niuache wapi? Utaupata next week. App ikitengamaa unaweza kupata alert PM hata weekend kwamba ubuyu umewasili.
Nikuunganishe na mtu wa huko anayekuja sana huku ni mkaka umpe ye ataniletea akileta biashara zake
 
Back
Top Bottom