Solved: App ya JamiiForums imeboreshwa (Android & iOS)..

Kwangu pia tatizo ni Hilo Hilo, Mwanzo nilijua labda sababu nime-update app ya JF, kumbe tatizo ni la wengi!
 
Hilo tatizo hata mimi huwa linanitokeaga my aka sometimes naamua kutumia browser
Hili tatizo hata kwangu nimeliona jana yaan nipo jf kwa kuvizia
Aahhh sawa ,sasa Mimi toka Juzi jioni sijapokea tena notification yoyote
Naunga mkono hoja wakuu...
Hili tatizo nami linanikabili hata inapelekea kukosa hamu na ladha halisi nilio izowea.
Bila notifications jf members tuna barizi kama vipofu.....
Cc: Invisible na wengine nilio wasahau please mkuje
 
Imeboreshwaje? Je maboresho yamehusisha kufuta thread za kipuuzi za Pro-CCM??? Kama hapana, basi maboresho yaliyofanyika yatakua ya kawaida sana. Hata hiyvo hongereni, kesho navaa T-shirt yangu ya JF
Ha haha mkorofi wewe
 
Na bila notifications jf members tuna peruzi kama vipofu wanao bahatisha tu...
Invisible and the team, tafadhali muokowe jahazi
 
Ndugu WanaJF,

Ni kweli kuna tatizo kidogo la kiufundi linaloathiri baadhi ya watumiaji, hivyo kushindwa kupokea notifications na baadhi ya features kwa wakati..

Hata hivyo mambo mazuri yanakuja. Tunafanyia kazi kuhakikisha changamoto hiyo na nyinginezo zote zinamalizika mapema iwezekanavyo..

Hakikisha unasanikisha maboresho mapya kila mara kwenye App yako..

Tunaomba uvumilivu wenu kidogo tu!
 
Salaam,

Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba hatimaye tumekamilisha maboresho tuliyokuwa tukiyafanya kwenye APP ya JamiiForums na sasa inapatikana ikiwa na muonekano mzuri zaidi pamoja na urahisi wa kutumia. Unaweza kuipakua sasa au kama tayari unayo tafadhali fanya Update ili kupokea maboresho hayo.

Kwa takribani siku 10, baadhi ya watumiaji hususan wa device za mfumo wa Android mlikutana na changamoto ya kutoweza kuipata App ya JamiiForums kupitia Playstore; JamiiForums haipatikani Playstore. Nini tatizo?

Tunashukuru kwa uvumilivu wenu katika kipindi chote tulichokuwa tukiifanyia kazi.

Kuna swali lolote?

Karibu..

432E4508-2A7E-48F7-A924-62706D623709.jpeg
Tatizo la Notification, yaani hata nikirefresh vipi notification, haziji na zikija ni za miezi na siku zilizopita.. rekebisheni hilo.
 
Ndugu WanaJF,

Tunashukuru kwa mrejesho mnaotupatia baada ya kupokea mabadiliko tuliyoyafanya.

Ni kweli kuna tatizo kidogo la kiufundi linaloathiri baadhi ya watumiaji, hivyo kushindwa kupokea notifications na baadhi ya features kwa wakati..

Hata hivyo mambo mazuri yanakuja. Tunafanyia kazi kuhakikisha changamoto hiyo na nyinginezo zote zinamalizika mapema iwezekanavyo..

Hakikisha unasanikisha maboresho mapya kila mara kwenye App yako..

Tunaomba uvumilivu wenu kidogo tu!

Asanteni.
 
Kwenye iOs hakuna tatizo mkuu. Ukikutana na taarifa za maboresho (new updates) tafadhali zisanikishe.

Kwenye iOS kulikua kuna tatizo la kutopata notifications, je mmelitatua hilo tatizo au bado lipo?
Kuna feature nyingine mmeongeza au ni zilezile za zamani?
 
Salaam,

Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba hatimaye tumekamilisha maboresho tuliyokuwa tukiyafanya kwenye APP ya JamiiForums na sasa inapatikana ikiwa na muonekano mzuri zaidi pamoja na urahisi wa kutumia. Unaweza kuipakua sasa au kama tayari unayo tafadhali fanya Update ili kupokea maboresho hayo.

Kwa takribani siku 10, baadhi ya watumiaji hususan wa device za mfumo wa Android mlikutana na changamoto ya kutoweza kuipata App ya JamiiForums kupitia Playstore; JamiiForums haipatikani Playstore. Nini tatizo?

Tunashukuru kwa uvumilivu wenu katika kipindi chote tulichokuwa tukiifanyia kazi.

Kuna swali lolote?

Karibu..

e998f93b1dda684c63e46ad6ab45f620.jpg


Mbona hamna kitu kipya kwenye ios??

Hivi JF nyie likes then huwa hazizidi 5 kwenye uzi ee

Afu mbona kama hakuna delete?
 
Ndugu WanaJF,

Tunashukuru kwa mrejesho mnaotupatia baada ya kupokea mabadiliko tuliyoyafanya.

Ni kweli kuna tatizo kidogo la kiufundi linaloathiri baadhi ya watumiaji, hivyo kushindwa kupokea notifications na baadhi ya features kwa wakati..

Hata hivyo mambo mazuri yanakuja. Tunafanyia kazi kuhakikisha changamoto hiyo na nyinginezo zote zinamalizika mapema iwezekanavyo..

Hakikisha unasanikisha maboresho mapya kila mara kwenye App yako..

Tunaomba uvumilivu wenu kidogo tu!

Asanteni.

Ni kweli mmetoa Night Mode?
 
WEKENI OPTION YA KUFUTA THREAD, INAKUAJE MTU AANDKE THREAD ASHNDWE KUIFUTA? PIA OPTION YA KUDELETE ACCOUNT, KAMA ILIVYO MITANDAO MINGNE YA TWITTER, FB, INSTA N.K
 
Back
Top Bottom