kichwa kubwa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 269
- 214
mkuu mm nimesahau password yangu je nawezaje kuipata ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye hii Jf app mpya itakusumbua kurecover password yako. Fanya hivi, toa hiyo app mpya download ya zamani alafu recover password yako then login hukohuko kwenye app ya zaman baada ya hapo ingia playstore update Jf app bila kuitoa hyo ya zamanimkuu mm nimesahau password yangu je nawezaje kuipata ?
Leo notification sizipati kabisa.Bora hata wewe,nimekimbilia playstore bure mana ugonjwa wa notification bado uko palepale
mkuu app yangu ni ya zamani.Kwenye hii Jf app mpya itakusumbua kurecover password yako. Fanya hivi, toa hiyo app mpya download ya zamani alafu recover password yako then login hukohuko kwenye app ya zaman baada ya hapo ingia playstore update Jf app bila kuitoa hyo ya zamani
Asante
Duuh. Basi hili ni tatizo la wengi.Leo kuna notification hamna sizipati kabisa.
Napata shida sanaa na utamu wa JF unakosekana kabisa bila notifications
Ngoja tuwasubiri kama kuna tatizo la kiufundi watuambieDuuh. Basi hili ni tatizo la wengi.
Waje watuambie nini shida?
Klick hapo kwenye forgot passwordmkuu app yangu ni ya zamani.
Asante
naamini wengi tumekumbwa na hiliDuuh. Basi hili ni tatizo la wengi.
Waje watuambie nini shida?
Kweli kabisa Mkuu.naamini wengi tumekumbwa na hili
Ahsante kwa maboresho,Salaam,
Tunapenda kuwataarifu wateja wetu kwamba hatimaye tumekamilisha maboresho tuliyokuwa tukiyafanya kwenye APP ya JamiiForums na sasa inapatikana ikiwa na muonekano mzuri zaidi pamoja na urahisi wa kutumia. Unaweza kuipakua sasa au kama tayari unayo tafadhali fanya Update ili kupokea maboresho hayo.
Kwa takribani siku 10, baadhi ya watumiaji wa device za mfumo wa Android mlikutana na changamoto ya kutoweza kuipata App ya JamiiForums kupitia Playstore; JamiiForums haipatikani Playstore. Nini tatizo?
Tunashukuru kwa uvumilivu wenu katika kipindi chote tulichokuwa tukiifanyia kazi.
Kuna swali lolote?
Karibu..
Bila shaka mkuu. Tuandikie suala lako kupitia email uliyotumia kujisajilia kwenda support@jamiiforums.commkuu mm nimesahau password yangu je nawezaje kuipata ?
Kwakweli, mimi nina notifications za ten hours agoKweli kabisa Mkuu.
Hahahaa unaogopa Ban wwHuu uzi wenye mods naogopa kuchangia!
Wakija kutoa ufafanuzi ni tagNgoja tuwasubiri kama kuna tatizo la kiufundi watuambie
SawaWakija kutoa ufafanuzi ni tag
Itakuwa tatizo ni lao sio bure.Kwakweli, mimi nina notifications za ten hours ago