nilikua nawaangalia tu. hili swali ni fumbo.
Nitawapa kwanza mfano ili ujisahihishe.
MFANO:
1,2,3,4.
je moja ukiijumlisha na namba inayo fuata unapata 3 na mbili ukijumlisha na namba inayoifuata unapata 5, tatu na inayoifuata 7. #kwenye hilo swali ameweka series kua 9 hadi 1.
akachukua 9 akaizisha na namba inayofuata kwa chini akapata jibu, 8 akazidisha kwa namba inayo fuata chini akapata jibu, 7 akazidisha namba inayo ifuata kwa chini akapata jibu. kakuachia hiyo tatu utoe jibu. mia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.