Solo Thang: Tuzidi kumuombea Chid Benz

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,483
54,839
Rapa Solo Thang ameposti video akiwa na Rapa Chid Benz ambaye walikutana usiku na kuongea baadhi ya mambo, lakini kutokana na hali aliyokuwa nayo Chid Benz Solo Thang alisema hawezi kumuhukumu bali anastahili kuombewa tu.
Chid%20Benz%20.jpg

Rapa Chid Benz

Katika ujumbe ambao Solo Thang aliandika kwenye mtandao wake wa Instgram alisema hawezi kuhukumu na hata iweje bado Chid Benz ataendelea kuwa mdogo wake, rafiki yake na mtu wake wa karibu.

"Met with my Young brother Chid Benz last night almost cried, I dont judge, no matter what still my hommie, tumeongea sana, tuzidi kumuombea Mola" aliandika Solo Thang

Tazama video hii ikimuonyesha Rapa Chid Benz akiwa na Solo Thang
 
Kusema aombewe tu bila huyo anaesema tumuombee angeonyesha njia kwanza kwa kumpeleka sehemu husika kisha ndio atoe ombi hilo vinginevyo haileti maana . Kifupi inaumiza watu sababu CHID ni maarufu lakini kuna malaki mangapi kama CHID ila wenyewe hawana ujulikano kitaifa ambao wametumbukia penye janga hili ?
 
Dah nakumbuka Chidi wakati anatoka ghafla tu akapewa tuzo ya Mwanahiphop bora huku akiwa na ngoma mbili tu moja kamshirikisha matonya mpenzi usinipe lawama na nyingine Chidi soo akiwa na Klyn wabongo walinung'unika sana Chid kupewa ile tuzo maana wengi walikuwa hawamfahamu. Ikabidi Chidi awajibu kwa kurelease bonge la ngoma "MMENISOMA"
 
Dah nakumbuka Chidi wakati anatoka ghafla tu akapewa tuzo ya Mwanahiphop bora huku akiwa na ngoma mbili tu moja kamshirikisha matonya mpenzi usinipe lawama na nyingine Chidi soo akiwa na Klyn wabongo walinung'unika sana Chid kupewa ile tuzo maana wengi walikuwa hawamfahamu. Ikabidi Chidi awajibu kwa kurelease bonge la ngoma "MMENISOMA"
Yaah ! kweli TUMEMSOMA
 
Aiseee yani huyu wamebaki kumzika tuu ana hali mabaya sana na wanao weza kumsaidia kwa sasa ni ndugu zake tuu,....
 
Watafuta kiki wakina babu tale wameamua kumuacha jamaa. Walimtoa rehab baada ya mwezi huku msimamizi wa kituo alisema mwezi mmoja hautoshi walau akae hata miezi 6. Pole sana chidi benz, mkono mfururu yaani pahpahpah wamekaa!
 

Similar Discussions

8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom