Soldering gun na station

Superpower

JF-Expert Member
Oct 11, 2018
826
912
Jamani naomba kuuliza nitaweza kusolder kwa soldering gun bila yakuwa station na kama ndiyo je station ina matumizi gani? Na inapatikana kuanzia kwa Tshs ngapi?
 
Jamani naomba kuuliza nitaweza kusolder kwa soldering gun bila yakuwa station na kama ndiyo je station ina matumizi gani? Na inapatikana kuanzia kwa Tshs ngapi?

Solder ring gun (Soldering Iron) ndio inayotumika katika matumizi ya kawaida ya kuchomea kitu kimoja kimoja.

Soldering station (Rework station)inajumuisha
1. Soldering Gun na
2. Hot Air gun.

Hot Air gun , inatumika kufanya re-flow au kuchoma sehemu zaidi ya moja kwa wakati mmoja kwa kutumia hewa. Kuchoma huko kwa kutumia Hewa inaweza kuwa DeSoldering au Soldering, haswa haswa kwa SMD components.

Soldering Station ina Range kati ya 150,000/ hadi 200,000 na kuendelea kulingana na ibora na muundo wake.

IMG_20210717_104407.jpg
 
Solder ring gun (Soldering Iron) ndio inayotumika katika matumizi ya kawaida ya kuchomea kitu kimoja kimoja.

Soldering station (Rework station)inajumuisha
1. Soldering Gun na
2. Hot Air gun...
Asante mkuu kwahiyo ninaweza nikaanza nikanza na soldering iron
 
Jamani naomba kuuliza nitaweza kusolder kwa soldering gun bila yakuwa station na kama ndiyo je station ina matumizi gani? Na inapatikana kuanzia kwa Tshs ngapi?
Solder ring gun (Soldering Iron) ndio inayotumika katika matumizi ya kawaida ya kuchomea kitu kimoja kimoja.

Soldering station (Rework station)inajumuisha...
Duuh...kila mtu na fani yake,sikuelewachochote kilichoandikwa mpk nilipoona picha kwenye coment

By the way sina nachojua hapa.
 
Asante mkuu kwahiyo ninaweza nikaanza nikanza na soldering iron
Soldering Iron ndio ya Lazima na muhimu kuanza nayo. Labda kama unafanya ufundi wa simu na Computer ndio utalazimika kuwa na hot air gun.

Kama unataka ufanye kazi yako vizuri tafuta vitu hivi:

1. Soldering gun yenye WATT 60 au zaidi.
2. Soldering gun ndogo yenye WATTS kam 30 au 40.
3. Meza nzuri ya Mbao.
4. Pair ya screwdrivers size tofauti na tweezers.
5. Plier na cable stripper/cutter.
6. Long nose.
7. Multimeter (sio lazima iwe professional).
8. Bench power supply (Variable).
9. Extention ya uhakika.
10. Isolation transformer (hii itakusaidia kuepuka shoti za hapa na pale katika majaribio yako.)
11. Umeme utakaokuja kwenye bench yako ya ufundi upitie kwanza kwenye circuit breaker (RCCB) Kwaajili ya usalama.
 
umeme mkubwa ni deal kuliko kuchomelea visimu, Tv na Redio unaweza kaa kutwa wasilete kiredio au ujaze maTv tena ya kichogo bila kutoka
Mageti na Madirisha ni deal ya uhakika km utabanana kwenye nyumba mpya za ujenzi au ukaitwa kwa mtu ukarekebishe mageti na madirisha
Yote yanataka umaarufu na uaminifu
 
umeme mkubwa ni deal kuliko kuchomelea visimu, Tv na Redio unaweza kaa kutwa wasilete kiredio au ujaze maTv tena ya kichogo bila kutoka
Mageti na Madirisha ni deal ya uhakika km utabanana kwenye nyumba mpya za ujenzi au ukaitwa kwa mtu ukarekebishe mageti na madirisha
Yote yanataka umaarufu na uaminifu

Akili za hivi ni za kusikitisha.
 
Soldering Iron ndio ya Lazima na muhimu kuanza nayo. Labda kama unafanya ufundi wa simu na Computer ndio utalazimika kuwa na hot air gun.

Kama unataka ufanye kazi yako vizuri tafuta vitu hivi:

1. Soldering gun yenye WATT 60 au zaidi...
Hapo kwenye namba 6 mkuu kiukweli mimi nimefuzu ila sasa kama mtu kaumbwa na kapua kafupi hapo inakuwaje eti yaani.

Sent from my cupboard using mug
 
Soldering Iron ndio ya Lazima na muhimu kuanza nayo. Labda kama unafanya ufundi wa simu na Computer ndio utalazimika kuwa na hot air gun.

Kama unataka ufanye kazi yako vizuri tafuta vitu hivi:

1. Soldering gun yenye WATT 60 au zaidi.
2. Soldering gun ndogo yenye WATTS kam 30 au 40.
3. Meza nzuri ya Mbao.
4. Pair ya screwdrivers size tofauti na tweezers.
5. Plier na cable stripper/cutter.
6. Long nose.
7. Multimeter (sio lazima iwe professional).
8. Bench power supply (Variable).
9. Extention ya uhakika.
10. Isolation transformer (hii itakusaidia kuepuka shoti za hapa na pale katika majaribio yako.)
11. Umeme utakaokuja kwenye bench yako ya ufundi upitie kwanza kwenye circuit breaker (RCCB) Kwaajili ya usalama.
Asante Sana mkuu hapo kwenye transformer si nisawa tu nazile stabilizer
 
Soldering Iron ndio ya Lazima na muhimu kuanza nayo. Labda kama unafanya ufundi wa simu na Computer ndio utalazimika kuwa na hot air gun.

Kama unataka ufanye kazi yako vizuri tafuta vitu hivi:

1. Soldering gun yenye WATT 60 au zaidi.
2. Soldering gun ndogo yenye WATTS kam 30 au 40.
3. Meza nzuri ya Mbao.
4. Pair ya screwdrivers size tofauti na tweezers.
5. Plier na cable stripper/cutter.
6. Long nose.
7. Multimeter (sio lazima iwe professional).
8. Bench power supply (Variable).
9. Extention ya uhakika.
10. Isolation transformer (hii itakusaidia kuepuka shoti za hapa na pale katika majaribio yako.)
11. Umeme utakaokuja kwenye bench yako ya ufundi upitie kwanza kwenye circuit breaker (RCCB) Kwaajili ya usalama.
Shukrani sana mkuu.
 
Back
Top Bottom