Nimeeleza siyo zawadi. Ni stahili yake.Zawadi ya gari ina ubaya gani?
Nimeeleza siyo zawadi. Ni stahili yake.Zawadi ya gari ina ubaya gani?
Kwanza serikali inahaizna ya magari kama yale mengi, wamechagua tu moja wamempa wala hajanunuliwa.
Halafu gari walilompa sio hisan sabab ya uzuri wake au urefu au uzee wake, kama hivo basi kuna wazee wengi na kuna watu wafupi wengi , ila kapewa sabab alikuwa ni raisi wa jamhuri ya muungano na gari anayotumia inampashida.
Naamini raisi ana fungu lake kila mwezi kwa ajili ya kufanya mambo ambayo JPM alikuwa anayafanya! Sio kwamba hela hazikuwa na maelezo!Mbona hukuhoji pale Mwendazake alivyonunua jogoo kwa laki moja? Mbona hukuhoji source ya hela ambazo Mwendazake alikuwa anatapanya hovyo kwa kuwazawadia watu mikutanoni?
Vitu kama si vyote alivyofanya Mwendazake Kama hivi hukutia neno na ulipotaka kusema ulileta ki complicated English ili ku blur intention 😃😃
Mtulie, rais Samia ametoa kwa niaba yetu zawadi kwa rais mstaafu. Ulitaka akodishiwe gari na serikali aliyoitumikia kwa 10 years kama kiongozi mkuu.
MATAGA kubalini bhasi
Kikwete alizopiga bandarini na kwenye cheque za safari za nje zinamtosha wala haihitaji mgao wenu! Pia dili ambayo alimtoa kafara besti yake ile ilimpa hela ndefu sana pamoja na sign za mikataba ya ajabu ya kuuza rasilimali na wanyama! Jamaa anae hela ndefu wala hana haja na kabenzi ka million 100Kikwete naye apewe au kwakuwa yeye ni wa bara!
Eti sikuhoji hela alizokuwa anagawa Magufuli? Hapo nilikuwa nafanya nini? Nacheza sindimba?Naamini raisi ana fungu lake kila mwezi kwa ajili ya kufanya mambo ambayo JPM alikuwa anayafanya! Sio kwamba hela hazikuwa na maelezo!
Jamaa hajaona labda hii!Eti sikuhoji hela alizokuwa anagawa Magufuli? Hapo nilikuwa nafanya nini? Nacheza sindimba?
View attachment 1778157
Hahahaaa! Akili zao zipo pungufu sana!Jamaa hajaona labda hii!
Kwa kodi zetu au pesa zake kama ni zake sio shidaUnajua Mzee Mwinyi alikuwa champion besti besti, tena waziwazi wa JPM. Sasa Bi Mkubwa atamchumbiaje basi!??? Ndiyo maana ya zawadi hiyo mujarabu. Umenipata!??? Hiyo ni namna moja ya Bi Mkubwa kumwambia: ^Achana na zilee kauli zako on behalf of Bulldozer. Rudi huku maana ndiyo direction kwa sasa!^
Hiyo subiri serikali ukatayo iunda weweMie binafsi kuna baadhi ya wastaafu hawatakiwi kupata chochote hata pensheni wanatakiwa wasipate, hii inatokana na jinsi walivyotumikia taifa, yaani walikula kabisa heshima ni sahihi kuwapati ila kuwaongezea mali si sawa, nakumbuka kipindi kile Mrema anashika dhahabu airport, maelezo yake hadi leo hamna, labda yapo kwenye kitabu cha ruksa, na kama hayapo, basi kitabu akijatimia!
Hakuna kitu kama hicho kinaweza kutokeaKuna wazee wastaafu wengi tu wanapata shida kwenye usafiri wa umma mara mia ya anavyopata Mwinyi kupanda "vieite" lake.
Naishauri serikali iwape msamaha wa kodi wastaafu wote kwenye kuagiza gari at least moja.
Hii nchi ni yetu sote!