peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,791
- 21,370
Huyu sio Dr Shayo Ngowi?View attachment 2693011
Mwamba huyu hapa
Huyu sio Dr Shayo Ngowi?View attachment 2693011
Mwamba huyu hapa
Ulipataje huo mchongo? kama hautojali nipe ABC hata PM mkuu kuhusu hiyo michango ya ughaibuni.Sorry ni UAE
United Arab Emirates
Wale EGB ana EAB au?Nashauri wizara ya Elimu iweze kuajiri walimu wa kilimo Tanzania nzima Chuo cha SUA kinatoa walimu wazuri wa kilimo lakini hawana ajira , Ni muda wa serikali kuwaajiri vijana kwa maslahi mapana ya nchi yetu (Agriculture is the backborn of our country)
AiseeWale EGB ana EAB au?
Kama ni hao,rudia tena ulichoandika.
Kuna waalimu wa kilimo ila sio waalimu wazuri wa kilimo!
Usipotoshe,sua haina ubora huu kutoa waalimu bora kwa kozi yoyote.
Kozi mpya hiyo imeanzishwa mwaka 2020.....manake mwaka huu ndoo kuna graduate wa kwanza(2022/2023 ) ......kwa mazingira haya ni wazi kabisa hatuwezi kukuelezea chochote nje ya chuo
Ulifanikiwa kuvipataWakuu nilichukua result slip ya forms six ila Vijana wa boada boda wamepita na mkoba result ikiwa ndani naomba msaada kwa anaejua nianzie wapi
Kassim ndoo yupi uyoo apa EMC mbona simpati au ndoo yule wa stationary paleMatofali na Kassim hao wako serious na kazi zao, na wanajulikana.
Njoo hapa EMC uone watu wanavyogawa pepa kwa malipo ya chupi.
Kumbe ile ripoti ya UKIMWI iliyotoka juzi inaweza kuwa ya kweli? Na kibaya zaidi huenda hawo wahadhiri wanaowavua chupi wanafunzi wanapiga miti kavu bila changa. Kwa hali hiyo tutarajie maradhi mengi ndani ya chuo.Matofali na Kassim hao wako serious na kazi zao, na wanajulikana.
Njoo hapa EMC uone watu wanavyogawa pepa kwa malipo ya chupi.
Kumbe mzee alifariki? Sijajua hilo, ngoja niulizie leo.Dr. A.J.P Tarimo Siku ya mazishi yake mnijulishe
Kumbe mzee alifariki? Sijajua hilo, ngoja niulizie leo.
Sasa ananufaika nini kumzushia mtu kifo?Hajafariki. Huyo jamaa mzushi tu.
Komaaa KijanaNipo hapa saivi ndugu mwaka wa pili na veterinary medicine (BVM) tunapambana tu