Kabulala
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 695
- 935
Hakuna shaka nchi yetu inategemea sana kilimo kama uti wa mgongo wa uchumi wetu. Asilimia zaidi ya 75% ya Watanzania wanajishughulisha na kilimo, sasa ni kwanini taasisi hii muhimu inazidiwa na vyuo vinavyofundisha Science ya Siasa au Ubunifu wa Majengo na Ukandarasi wakati katika miradi yote mikubwa nchini ni asilimia 25% tu inafanywa na Watanzania? (wrong priorities?).
Kwanini SUA msiwe the leading high learning Institute katika nchi hii? Kilimo bado ni duni sana na sidhani kama hii ni bahati mbaya (coincidence). Mnafeli wapi?! Kwanini hatuoni positive impacts ya kutosha as a Nation? (ningefurahi Viongozi wa SUA wangekuwa wa kwanza kujibu haya). Naomba wadau au mnaojua zaidi mdadavue dukuduku hili, na ninashauri walengwa wachukue dondoo za mawazo ya kujenga yatakayoletwa hapa.
Serikali/ Wizara na Taasisi zetu zinahitaji sana mawazo yenu wananchi ili tusonge mbele, hii nchi ni yetu sote. Naomba msitukane, toeni maoni kwa staha.
Kwanini SUA msiwe the leading high learning Institute katika nchi hii? Kilimo bado ni duni sana na sidhani kama hii ni bahati mbaya (coincidence). Mnafeli wapi?! Kwanini hatuoni positive impacts ya kutosha as a Nation? (ningefurahi Viongozi wa SUA wangekuwa wa kwanza kujibu haya). Naomba wadau au mnaojua zaidi mdadavue dukuduku hili, na ninashauri walengwa wachukue dondoo za mawazo ya kujenga yatakayoletwa hapa.
Serikali/ Wizara na Taasisi zetu zinahitaji sana mawazo yenu wananchi ili tusonge mbele, hii nchi ni yetu sote. Naomba msitukane, toeni maoni kwa staha.