KunjyGroup
JF-Expert Member
- Dec 7, 2009
- 352
- 26
Wana JF naomba mchango wenu ili nielewe kuhusu harakati za kukabilina na wahujumu uchumi na reaction ya Mwalimu kuhusu vifi nyao.
Maswali ni haya:
1. Kama Sokoine na Kolimba walikuwa wanapinga ufisadi, je vifo vyao vilimkera kiasi gani Mwalimu?
2. Mwalimu alifanya nini kuakikisha kwamba vita vya kuhujumu uchumi (Sokoine) na mwelekeo wa chama unarudi kwenye mstakabili wake (Kolimba)?
Napata shida kuelewa kwanini vifo vya hawa ma gwiji wa uzalendo vinahusina na chama cha mapinduzi na wakati huo Mwalimu alikuwepo. Mwalimu alikua on the same page na hawa mashujaa wete kweli?
Maswali ni haya:
1. Kama Sokoine na Kolimba walikuwa wanapinga ufisadi, je vifo vyao vilimkera kiasi gani Mwalimu?
2. Mwalimu alifanya nini kuakikisha kwamba vita vya kuhujumu uchumi (Sokoine) na mwelekeo wa chama unarudi kwenye mstakabili wake (Kolimba)?
Napata shida kuelewa kwanini vifo vya hawa ma gwiji wa uzalendo vinahusina na chama cha mapinduzi na wakati huo Mwalimu alikuwepo. Mwalimu alikua on the same page na hawa mashujaa wete kweli?