blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 10,420
- 12,569
Huyu Tulia walau hata angekuwa na mvuto aisee...Nimemsikiliza Tulia mwanzo mpaka mwisho, kama ndio sera zake ni hizi za kumsifu Magufuli kafanya makubwa Mbeya mjini then utegemee kumtenga mbunge Sugu na hayo mazuri anayoyahubiri badi PhD ya Tulia ina walakini mkubwa.
Nilikuwa sijui vizuri uwezo wa Tulia jukwaani kama mkutano huu mkubwa ndio yupo shallow hivi basi nashauri Sugu atumike kwenye majimbo mengine ya Mbeya kuongeza nguvu kwa sababu natamka rasmi Tulia atapigwa kwa kura nyingi zaidi ya alizoshinda Sugu mwaka 2015.
Mbeya mjini shughuli imekwisha, beti popote pale kwa dau lolote.
Ningeweza mpa kura ya kumtamani.