NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,002
Aisee Mbeya inarudi CCM mapemaaa.wananchi wa Mbeya washaamua sasa wamechoshwa na ulaghai wa Sugu.Nakuletea yanayojiri
Hapa ni mapokezi yake Uyole mbeya Jana wakimpokea kwa mkutano utakaofanyika leo