Gomegwa G
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 415
- 535
Greetings 2u my dear Jf members.
Kama kuna mtu anaweza akanisaidia soko la viazi lishe hapa Dar-es-salaam naomba unisaidie plz. Nataka nijue soko lake kabla sijaingia shambani coz kna mtu kanishauri kwamba ni dili sana kwa maana kwamba mauzo yake vinauzwa kwa kilo na si kwa mafungu. Na kilo moja ni kuanzia sh 1000 huko morogoro.
Kwa Dar es salaam sinajua soko lake na bei yake. Kama kuna mtu anajua naomba msaada tafadhari.
Kama kuna mtu anaweza akanisaidia soko la viazi lishe hapa Dar-es-salaam naomba unisaidie plz. Nataka nijue soko lake kabla sijaingia shambani coz kna mtu kanishauri kwamba ni dili sana kwa maana kwamba mauzo yake vinauzwa kwa kilo na si kwa mafungu. Na kilo moja ni kuanzia sh 1000 huko morogoro.
Kwa Dar es salaam sinajua soko lake na bei yake. Kama kuna mtu anajua naomba msaada tafadhari.