Soko la Vetenari lililoko maeneo ya TAZARA linateketea kwa moto, Chanzo Hitilafu ya umeme

Kuna mtu nilimsikia anasema kuwa haya Masoko - Watu wa mipango mji huwa wanayachoma wenyewe kisha wanakuja na kujenga soko jipya kwa mpangilio mzuri.

Wanasema wakiwaomba wafanyabiashara wahame kwa hiyari yao huwa wanagoma, ndio maana wanatumia njia hiyo ya kuchoma makusudi.
 
Back
Top Bottom