cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,628
- 137,330
We dea, bora ufanye taratibu mapema za kuokoa mali zako.Duh hii hatari
wasiunguze soko la stereo nitaenda wapi mimi .
We dea, bora ufanye taratibu mapema za kuokoa mali zako.Duh hii hatari
wasiunguze soko la stereo nitaenda wapi mimi .
Shosti naenda hapo kununua vyakulaWe dea, bora ufanye taratibu mapema za kuokoa mali zako.
Duuuh polee yake.Nina Rafiki yangu kajichanga changa kafungua Duka hapo, Watu wamemuachia Fremu tu
Ooooh umenitisha mnooo yaan, aseeeh nawahurumia hawa wanaochomewa biashara zao.Shosti naenda hapo kununua vyakula
Sina biashara hapo
Napendaga hilo soko
Ooh pole aiseeOoooh umenitisha mnooo yaan, aseeeh nawahurumia hawa wanaochomewa biashara zao.
Una uhakika mkuu?Hata ukate bima hulipwi soko likiunguzwa, uchunguzi utasema Wenye bima ndo mmechoma.