Soko la Vetenari lililoko maeneo ya TAZARA linateketea kwa moto, Chanzo Hitilafu ya umeme

Wafanyabiashara hasa wengi jambo la kukatia bima shughuli zao wanalionaga kama upuuzi fulani hapa UK bima hukatwa kwanza na ndiyo licence hutolewa.

N. B, BIMA ILIVYO YA LAZIMA KWENYE MAGARI NA KWENYE BIASHARA UWEPO ULAZIMA HUO.
Kampuni za bima nazo huwa zinaangalia kitu cha kuwakatia bima wateja, eneo kama lile halina mpangilio, moto kutokea sio kitu cha ajabu
 
''...kwenye nchi za Kiafrika kuna matatizo mengi sana, lakini tatizo kubwa ni waafrika wenyewe...''
 
Enzi ya Makonda haya mambo Hayakuwepo. Rc Makala ameshafail, Hangaya yeye anatuga Tu Kila Siku Hakai Nchini. Acha Watu Wachome Miundombinu Tu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Muda huu soko lililopo mbele ya Daraja la TAZARA au Mfugale upande wa kushoto kama unatokea Buguruni linateketea kwa moto.

Jina la soko silikumbuki vizuri, sijui linaitwa Vetinari. Chanzo cha habari ni mimi mwenyewe. Nimepita muda huu nimekuta soko linateketea.

Zima moto na gari lao wapo ila naona wanakodoa macho tu.

====


View attachment 2244086

Soko la Vetenari lililopo eneo la Tazara jijini Dar es Salaam linawaka moto.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Zimamoto mkoa wa kizimamoto Temeke Mrakibu Msaidizi Michael Bachubira amesema Hadi sasa Jeshi linaendelea kuuzima moto huo na kudhibiti usisambae maeneo mengine na kwamba wanaendelea kuchunguza chanzo cha moto huo.

Hii ni mara ya nne kwa masoko jijini Dar kuungua kwa mwaka huu ambapo mwezi Februari soko la Mbagala likiungua, na Soko la Karume kuungua mara mbili, mwezi Januari na Aprili
Kuna mtu analitaka hilo eneo
 
Repoti ikikamilika utaambiwa chanzo ni teja mmoja aloenda washa sigara kwa jiko la mama lishe
 
Watoe ratiba ya kuunguza masoko ili tujipange kisaikolojia
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Muda huu soko lililopo mbele ya Daraja la TAZARA au Mfugale upande wa kushoto kama unatokea Buguruni linateketea kwa moto.

Jina la soko silikumbuki vizuri, sijui linaitwa Vetinari. Chanzo cha habari ni mimi mwenyewe. Nimepita muda huu nimekuta soko linateketea.

Zima moto na gari lao wapo ila naona wanakodoa macho tu.

====


View attachment 2244086

Soko la Vetenari lililopo eneo la Tazara jijini Dar es Salaam linawaka moto.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Zimamoto mkoa wa kizimamoto Temeke Mrakibu Msaidizi Michael Bachubira amesema Hadi sasa Jeshi linaendelea kuuzima moto huo na kudhibiti usisambae maeneo mengine na kwamba wanaendelea kuchunguza chanzo cha moto huo.

Hii ni mara ya nne kwa masoko jijini Dar kuungua kwa mwaka huu ambapo mwezi Februari soko la Mbagala likiungua, na Soko la Karume kuungua mara mbili, mwezi Januari na Aprili
Muda ni uleule!
 
Back
Top Bottom