Kampuni za bima nazo huwa zinaangalia kitu cha kuwakatia bima wateja, eneo kama lile halina mpangilio, moto kutokea sio kitu cha ajabuWafanyabiashara hasa wengi jambo la kukatia bima shughuli zao wanalionaga kama upuuzi fulani hapa UK bima hukatwa kwanza na ndiyo licence hutolewa.
N. B, BIMA ILIVYO YA LAZIMA KWENYE MAGARI NA KWENYE BIASHARA UWEPO ULAZIMA HUO.
Zimamoto wana vituko sana alaf pale na ofisi yao ni karibu sana.
Siku zingine wanasingizia barabara kwenda eneo la tukio haipitiki mara mitaa imebanana, sasa leo watakuja na lipi?
Manzeseeee1. Kko
2. Karume
3. Mwenge
4. Vetenari
5. Where next?
Kuna mtu analitaka hilo eneoMuda huu soko lililopo mbele ya Daraja la TAZARA au Mfugale upande wa kushoto kama unatokea Buguruni linateketea kwa moto.
Jina la soko silikumbuki vizuri, sijui linaitwa Vetinari. Chanzo cha habari ni mimi mwenyewe. Nimepita muda huu nimekuta soko linateketea.
Zima moto na gari lao wapo ila naona wanakodoa macho tu.
====
View attachment 2244086
Soko la Vetenari lililopo eneo la Tazara jijini Dar es Salaam linawaka moto.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Zimamoto mkoa wa kizimamoto Temeke Mrakibu Msaidizi Michael Bachubira amesema Hadi sasa Jeshi linaendelea kuuzima moto huo na kudhibiti usisambae maeneo mengine na kwamba wanaendelea kuchunguza chanzo cha moto huo.
Hii ni mara ya nne kwa masoko jijini Dar kuungua kwa mwaka huu ambapo mwezi Februari soko la Mbagala likiungua, na Soko la Karume kuungua mara mbili, mwezi Januari na Aprili
Ndio kituo kinachofuata. Hapa tunapanga tutumie njia gani nzuri.Duh hii hatari
wasiunguze soko la stereo nitaenda wapi mimi .
Orodha ni hii tu au kuna mengine umeyashau? Nadhani masoko yalyoungua ni mengi kidogo kuzidi haya uliyoyataja hapa1. Kko
2. Karume
3. Mwenge
4. Vetenari
5. Where next?
Muda ni uleule!Muda huu soko lililopo mbele ya Daraja la TAZARA au Mfugale upande wa kushoto kama unatokea Buguruni linateketea kwa moto.
Jina la soko silikumbuki vizuri, sijui linaitwa Vetinari. Chanzo cha habari ni mimi mwenyewe. Nimepita muda huu nimekuta soko linateketea.
Zima moto na gari lao wapo ila naona wanakodoa macho tu.
====
View attachment 2244086
Soko la Vetenari lililopo eneo la Tazara jijini Dar es Salaam linawaka moto.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Zimamoto mkoa wa kizimamoto Temeke Mrakibu Msaidizi Michael Bachubira amesema Hadi sasa Jeshi linaendelea kuuzima moto huo na kudhibiti usisambae maeneo mengine na kwamba wanaendelea kuchunguza chanzo cha moto huo.
Hii ni mara ya nne kwa masoko jijini Dar kuungua kwa mwaka huu ambapo mwezi Februari soko la Mbagala likiungua, na Soko la Karume kuungua mara mbili, mwezi Januari na Aprili
Majasiri mno,