Laana zimuendee mtu yeyote aliyekusudia kufanya unyama huu
Kwa wenye biashara kubwa sawa, biashara ya mtaji wa laki 1 hadi 1m ukate bima kweli?Wafanyabiashara hasa wengi jambo la kukatia bima shughuli zao wanalionaga kama upuuzi fulani hapa UK bima hukatwa kwanza na ndiyo licence hutolewa.
N. B, BIMA ILIVYO YA LAZIMA KWENYE MAGARI NA KWENYE BIASHARA UWEPO ULAZIMA HUO.
Jiandae kuishi Kama shetani..😂Duh hii hatari
wasiunguze soko la stereo nitaenda wapi mimi .
Kisa nini ?Jiandae kuishi Kama shetani..😂
Wafanyabiashara hasa wengi jambo la kukatia bima shughuli zao wanalionaga kama upuuzi fulani hapa UK bima hukatwa kwanza na ndiyo licence hutolewa.
N. B, BIMA ILIVYO YA LAZIMA KWENYE MAGARI NA KWENYE BIASHARA UWEPO ULAZIMA HUO.
Muda huu soko lililopo mbele ya Daraja la TAZARA au Mfugale upande wa kushoto kama unatokea Buguruni linateketea kwa moto.
Jina la soko silikumbuki vizuri, sijui linaitwa Vetinari. Chanzo cha habari ni mimi mwenyewe. Nimepita muda huu nimekuta soko linateketea.
Zima moto na gari lao wapo ila naona wanakodoa macho tu.
====
View attachment 2244086
Soko la Vetenari lililopo eneo la Tazara jijini Dar es Salaam linawaka moto. Kwa mujibu wa Kamanda wa Zimamoto mkoa wa kizimamoto Temeke Mrakibu Msaidizi Michael Bachubira amesema Hadi sasa Jeshi linaendelea kuuzima moto huo na kudhibiti usisambae maeneo mengine na kwamba wanaendelea kuchunguza chanzo cha moto huo.
Wanataka kujenga nn pale hadi walichome moto soko
Nimewapita wamepaki gari lao la zimamoto huku wameshika mikono viunoni wakishangaa pamoja na raia.Zimamoto wana vituko sana alaf pale na ofisi yao ni karibu sana.
Siku zingine wanasingizia barabara kwenda eneo la tukio haipitiki mara mitaa imebanana, sasa leo watakuja na lipi?
Nalo litachomwa!Kisa nini ?
Tutahamia soko jingine tu
Ah usiseme hivyoNalo litachomwa!
Subiri watawasaidia wenye misaada!Ah usiseme hivyo
Nishasahau kununua vitu gengeni mie
Sokoni huwa panatusaidia sana
Hali mbaya kwa kweliSubiri watawasaidia wenye misaada!
Marekani viwanda vingi vya vyakula vimeungua moto - Coincidence? Siku hizi wanasema "Think while it is still legal"Muda huu soko lililopo mbele ya Daraja la TAZARA au Mfugale upande wa kushoto kama unatokea Buguruni linateketea kwa moto.
Jina la soko silikumbuki vizuri, sijui linaitwa Vetinari. Chanzo cha habari ni mimi mwenyewe. Nimepita muda huu nimekuta soko linateketea.
Zima moto na gari lao wapo ila naona wanakodoa macho tu.
====
View attachment 2244086
Soko la Vetenari lililopo eneo la Tazara jijini Dar es Salaam linawaka moto. Kwa mujibu wa Kamanda wa Zimamoto mkoa wa kizimamoto Temeke Mrakibu Msaidizi Michael Bachubira amesema Hadi sasa Jeshi linaendelea kuuzima moto huo na kudhibiti usisambae maeneo mengine na kwamba wanaendelea kuchunguza chanzo cha moto huo.