newmzalendo
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 1,378
- 550
Juzi nimetembelea kwa mtu,nimekula unga wa dona,ulikuwa mtamu sana,ugali ni ulichanganywa na unga wa muhogo.
nilipo dadisi nikaambiwa kuwa huwa anasaga mahindi mwenyewe (in Dar),nimeongea na marafiki ,nikagundua watu wameanza kupata muamoko na value ya chakula,lishe ya dona ni bora kuliko sembe iliyokobolewa.
kuna rafiki yangu anakiwanda cha kusaga,nataka kumshauri kuwa kuna market ya Dona in DAR
hakutakuwa na Duka,orders zitachukuliwa kwa simu and online only.
naomba msaada kwa kujibu maswali machache,na maoni yanakaribishwa
1 Je kama upo Dar ungependa kupata huduma ya sembe isiyokobolewa (DONA),
2-kwa wiki utahitaji kilo ngapi za unga wa Dona uzito wa 5kg/10kg/25kg
3.Dona can be delivered within Dar office-Town with delivery charge of 2000Tsh.is this charge too low or reasonable
mradi ukianza utapenda kupata huduma hii?if yes
nilipo dadisi nikaambiwa kuwa huwa anasaga mahindi mwenyewe (in Dar),nimeongea na marafiki ,nikagundua watu wameanza kupata muamoko na value ya chakula,lishe ya dona ni bora kuliko sembe iliyokobolewa.
kuna rafiki yangu anakiwanda cha kusaga,nataka kumshauri kuwa kuna market ya Dona in DAR
hakutakuwa na Duka,orders zitachukuliwa kwa simu and online only.
naomba msaada kwa kujibu maswali machache,na maoni yanakaribishwa
1 Je kama upo Dar ungependa kupata huduma ya sembe isiyokobolewa (DONA),
2-kwa wiki utahitaji kilo ngapi za unga wa Dona uzito wa 5kg/10kg/25kg
3.Dona can be delivered within Dar office-Town with delivery charge of 2000Tsh.is this charge too low or reasonable
mradi ukianza utapenda kupata huduma hii?if yes