Soko la samaki wa chumvi Morogoro

flulanga

JF-Expert Member
Jul 1, 2016
4,861
6,342
Habarini wapendwa katika Bwana.

Nauliza kama kuna wanaofahamu soko lasamaki wadogo nchi 2, nachi 2¼ wakukaangwa namafuta yamawese pamoja nachumvi, Samaki wakutoka tabora ugala. Kama kuna anayefahamu soko lake morogoro na sehemu nyinginezo naomba anijuze.
 
Back
Top Bottom