mkayala JF-Expert Member Feb 25, 2009 555 72 Mar 9, 2012 #1 Kwa sasa katika viwanda vyetu na sekta mbalimbali,wamejaa wakenya na waganda,je nasi pia tunapewa fursa sawa huko kwao?
Kwa sasa katika viwanda vyetu na sekta mbalimbali,wamejaa wakenya na waganda,je nasi pia tunapewa fursa sawa huko kwao?
M Madoido Senior Member Jan 24, 2011 134 15 Mar 9, 2012 #2 Kinacho mata ni professionalism, nasi tukisoma kazi unafanya popote na heshima unapata popote,,nadhani bongo kuna nafasi n'je n'je
Kinacho mata ni professionalism, nasi tukisoma kazi unafanya popote na heshima unapata popote,,nadhani bongo kuna nafasi n'je n'je
mkayala JF-Expert Member Feb 25, 2009 555 72 Mar 9, 2012 Thread starter #3 Madoido said: Kinacho mata ni professionalism, nasi tukisoma kazi unafanya popote na heshima unapata popote,,nadhani bongo kuna nafasi n'je n'je Click to expand... Unajua jinsi ajira zilivyongumu Tanzania kwa sasa?Mfano TRA wanahitaj watu 40 lakin walioapply zaidi ya 1000,vp hapo?
Madoido said: Kinacho mata ni professionalism, nasi tukisoma kazi unafanya popote na heshima unapata popote,,nadhani bongo kuna nafasi n'je n'je Click to expand... Unajua jinsi ajira zilivyongumu Tanzania kwa sasa?Mfano TRA wanahitaj watu 40 lakin walioapply zaidi ya 1000,vp hapo?