Natafuta soko la maziwa fresh ya ng'ombe

khalifa awe

Senior Member
Sep 21, 2016
147
31
Habarini. Natafuta soko la maziwa nipo Dodoma lita 500 kila siku asubuhi bei 1500/- kila lita mawasiliano 0683670160
 
Natafuta soko la maziwa fresh ya ng'ombe wa kienyeji kuanzia lita 200 hadi 500 kwa siku maziwa yapo kiwango kizuri bei 1500/- kila lita nipo Dodoma naweza kusafirisha hata Morogoro au Dar es salaam kwa atayenipatia soko la uhakika hata kwenye makampuni ya maziwa nitampa zawadi maana maziwa yanamwagika tu. Mawasiliano 0683670160
 
Unazalisha lita 500 za maziwa alafu hauna soko, unafanya makusudi au ni bahati mbaya?
 
Sio bahati mbaya mkuu mengine nauzia Dodoma sasa nifanyeje kama ng'ombe zimezaa?
 
Mwenye soko jamani nipo Sirius
mkuu hongera sana ..... ningekushauri uanze kufikiri uwezekano wa kufanya processing ndogo hapo Dodoma ..... pasteurization na kupack katika pakiti ndogo za 33-500mls fresh milk sachets .... pamoja na cup yoghurt milk
 
Au awasiliane na Asas diaries iringa, Asas wapo ktk program ya sagot, wananunua maziwa from wakulima wadogo na wanawasapot pia, jaribu kuwatafuta..
 
Lakini Dodoma ni mbali, mpaka Dar yatakuwa yameharika au unayatunzaje
 
Mkuu upo wapi mkuu usikute wewe ni middle man mkuu.changanya akili tafuta viwanda vinavyotumia maxiwa kutengenezA product then ingia nao mkataba.ila kama wewe ni mtu wa kati itakuwa ngumu
 
Plz tafuta connection far
. ...uku tunanunua lita5 elfu11 alaf yana maji
 
Plz tafuta connection far
. ...uku tunanunua lita5 elfu11 alaf yana maji
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom