Soko la Matikiti Maji

Darcityconfidential

JF-Expert Member
Jul 14, 2015
351
367
Habari za muda huu Wadau, Nina shamba la matikiti Maji lenye eneo la heka moja, tikiti limeshakomaa ndani ya week hii navuna. Naomba ushauri wa soko la tikiti kwa sasa lipoje? Kuna faida na hasara gani kuuzia shambani au kupeleka sokoni mimi mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom