Libent Boniphace
New Member
- May 1, 2017
- 1
- 1
Wapendwa nina maharage ambayo yamechambuliwa vizuri na kukaushwa vizuri aina ya njano, soya, meupe makubwa, meupe madogo, na mengineyo mengi naomba mnisaidie soko la kuuza maarage yangu nina tani 10
Yako mkoa gani?Wapendwa nina maharage ambayo yamechambuliwa vizuri na kukaushwa vizuri aina ya njano, soya, meupe makubwa, meupe madogo, na mengineyo mengi naomba mnisaidie soko la kuuza maarage yangu nina tani 10
Upo wapi? Na bei kwa kilo ni shilingi ngapi? Share details zaidiWapendwa nina maharage ambayo yamechambuliwa vizuri na kukaushwa vizuri aina ya njano, soya, meupe makubwa, meupe madogo, na mengineyo mengi naomba mnisaidie soko la kuuza maarage yangu nina tani 10