nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 71
soko la mahakama ya ndizi linavunjwa na hali si shwari risasi na mabomu ya machozi wafanyabiashara naona wamereact,mliokaribu fuatilieni hatma ya hapo mahali,wenzetu watafanyia wapi biashara kila wanapopelekwa baada ya muda wanafukuzwa kwa risasi na mabomu
Source redio one breakin news
Source redio one breakin news