Hawa sasa hivi wamepiga kambi LupasoHivi wale wazee wa kila kitu ni freemasons wamepotelea wapi?
Anyways, poleni wahanga wote wa tukio.
Yaah huo ni mkakati maalum kabisa na hao viongozi waliopigwa chini ndo waanze nao, hakuna mwingineRais Samia na Serikali yako Kamateni upesi Watu wote walipokuwa katika ile Bodi ya Soko la Kariakoo ambayo uliivunja kwani ndiyo Wahusika wakuu wa Tukio hili la Kimkakati katika Kukukomoa na Kukutingisha...
Jeshi la zima moto kiukweli naona kazi yao ni kusumbua tu wafanyabiashara na certificates zao ila kwenye kuzima bado sana
Ule moto wangeweza kuudhibiti fire na sokoni ni karibu sana ...na uzuri ilikuwa jpili hakuna foleni ya watu kiasi hichoWanahitaji vifaa vya kileo ambavyo hawana.
Nikiangalia nasikitika sana maana kona ile ndipo penye duka la pembejeo la swahiba yangu, sasa sijui watakompesente Yale madawa na mbegu zote.
Alikuwa ameikatia bima biashara yake?Nikiangalia nasikitika sana maana kona ile ndipo penye duka la pembejeo la swahiba yangu, sasa sijui watakompesente Yale madawa na mbegu zote.
BOT ina mechanisms zake za kuzima MOTOTunakoelekea tulinde BOT
Zimamoto magari ya kuzimia moto mabovu, maji hayana kabisa, kufanya mpaka muda huu saa 4 hakuna dalili ya kuzimika.
Kiongozi uzi unahusu moto kariakoo hawa uamsho wanabusika vipi? Acha uzandiki na sarakasi za bandia.UAMSHO, wapo uraiani...
Honestly speaking SSH anapwaya sana. Angejikita kwanza kusoma systems zilivyo badala ya kuzurura na matamko yasiyokuwa na tija.
Kipindi chake shule nyingi zimeunguaKipindi cha JPM ujinga huu haukuwepo kwa kiasi kikubwa.
Mama hawa viumbe wanakupima
Mlifanikiwa kuzima moto saa ngapi jana.Nishatoka kariakoo aisee ningeenda kukusanya habari
Ni sawa maana unaruhusu vipi mtu akaokoe mali isiyo yake?Kuna jamaa anasema wakati moto unaanza kuwaka, walinzi walikataa kuruhusu watu kuingia ndani kuokoa mali