Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

Mimi ni Mhanga wa HISA. nilinunua Hisa 100 toka mwaka 1999 kutoka TOL hadi leo sijasikia faida wala kuulizwa, na nimeingia mkenge mwengine nimenunua HISA Vodacom hadi leo hii sijasikia lolote, hivi inakuaje kuaje? mimi sasa nipo Maswa na Shinyanga baada ya kustaafu
 
Ukitaka kununua angalia volume, volume ni inakuambia hizo hisa zinakuwa demanded kiasi gani,
High volume inamaanisha watu sokoni wanazinunua sana hivyo possibility ya kupanda bei ni kubwa,
Low volume inamaanisha hazinunuliwi sana, na zinaweza shuka bei soon
Pia volume ikiwa kubwa inamaanisha liquidity ya hisa hizo ni kubwa ambapo inakupa urahisi wa kuuza na kununua muda wowote

High volume pia inamaanisha bei yake haibadiliki ghafla ila steadily hii inakupunguzia shock.
Asante kwa elimu. Ni muda tangu ni post hii na nimejifunza mengi sana kwenye masoko ya nje Na nilichogundua experience ndio inasaidia.
 
Vodacom wako radhi kujifanya wanatoa misaada kila siku,angalia bolg ya michuzi.
ukiangali a shareholders wao,kama VODACOM group(65%) na Mirambo(35%),kama mtanzania wa kawaida anatakiwa ajue ni nani hawa,kiasi gani cha tax kimelipwa etc.
Je ni nani ana audit hawa,kiasi gani waremit kweny parent company etc,ambayo haya
lazima yawe kwenye published acmmunication katika nchi yoyote ni muhimu sana maana ni chanzo kikubwa
cha income.I guess VODACOM ni kampuni ya kigeni,kwa nini isiwe na dual listing?

Hawa akina Mirambo ni nani?

Nchi za Ulaya/Marekani zimeweza kuendelea kwa sababu la soko la mitaji.
mkuu naomba unisaidie naweza kuuzaje hisa za voda, nataka kupunguza Mia
 
Habari zenu wadau.
Na Mimi nimewaza kutokana na ugumu wa biashara nchini mwetu nikaona ni bora nianze kuwekeza kwenye hisa.

Vipi mwaka huu soko la hisa limekaa vipi? Kwa yeyote mwenye uelewa.
Ahsante.
 
Jaman Naombeni elimu juu Na hamna Ya kumiliki hisa Za kampuni yoyote na kuwa moja Ya share holder Wa kampuni
 
Hivi ni jitihada gani wanafanya viongozi Wa DSE kuongeza thamani ya solo liwe la kuvutia kwa wekezaji Wa ndani
 
Kwa daily trading ni vyema kutembelea website ya dse kuangalia performance ya makampuni mbalimbali yalyoorodheshwa kwenye solo
Habari zenu wadau.
Na Mimi nimewaza kutokana na ugumu wa biashara nchini mwetu nikaona ni bora nianze kuwekeza kwenye hisa.
Vipi mwaka huu soko la hisa limekaa vipi?
Kwa yeyote mwenye uelewa.
Ahsante.
 
Kuna mzee hapa anasema mwaka 2015 alinunua 100 shares za DSE. sasa nipo naye hapa hajui afanyaje na hakumbuki maelekezo yoyote ila depository receipt anayo
Aende akaonyeshe hiyo depository receipt kwa broker aliponunua hisa pamoja na ID card yake atapewa maelekezo yote akitaka kuuza.

Isome vizuri hiyo receipt itakuwa na jina la broker aliponunulia.
 
Back
Top Bottom