Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

Samahani mkuu, nimechelewa kujibu swali lako mambo ya mwaka mpya, nimeku PM namba ya jamaa mojawapo yuko Dar wasiliana nae atakupa maelekezo na kujibu maswali yako bila malipo. Asante

Mkuu nashukuru... nimejibu pM yako.. ila mawasiliano na mhusika bado hujanipatia... nashukuru kwa kuhamasika kujibu swali langu..
 
Mada nzuri lakini haijalenga kuwaelimisha wanaJF.

nafikiri ingekuwa vema kama kungekuwa na mwendelezo juu ya namna gani (taratibu za kufuata) ili mtu aweze kuingia kwenye hii biashara, vigezo, faida na hasara (viwekwe wazi/bayana)!

wenye maujuzi mtujuze jamani!
 
Mada nzuri lakini haijalenga kuwaelimisha wanaJF. nafikiri ingekuwa vema kama kungekuwa na mwendelezo juu ya namna gani (taratibu za kufuata) ili mtu aweze kuingia kwenye hii biashara, vigezo, faida na hasara (viwekwe wazi/bayana)!
wenye maujuzi mtujuze jamani!

Unachosema ni kweli mkuu, ndio maana nimewaalika wadau wamwagike zaidi. Ila ushauri wangu ni huu:-

1- Usifanye biashara ya hisa kama unataka kupata faida ya haraka, kuzungusha hela na kupata faida kwa muda mfupi.

2- Usichukue kiasi kikubwa cha mkopo benki au taasisi yeyote na kuiweka yote kwenye hisa bila kufanya utafiti wa kutosha na umakini mkubwa kwenye kampuni unayotaka kuwekeza.

3- Kwa kuwa hisa zinaongezeka thamani kutokana na ufanisi na uendeshaji mzuri wa kampuni uliyowekeza, ni vema kuweka hisa kwa hela ya ziada au usiyoihitaji kwa haraka. Ikumbukwe kwamba wingi wa hisa unakupa kiasi kikubwa cha gawio kila mwaka endapo kampuni inaenda vizuri na inapata faida.

4- Kununua hisa za kampuni fulani inamaanisha unaimiliki kwa kiwango cha hisa zake, ikipata hasara hakuna gawio na huenda bei za hisa zikashuka.
 
Aksante Mkuu kwa maujuzi!
mtaji wa angalau kiasi gani unafaa kuanzia?
hawa watu wana Lugha yao, mfn wanaposema isa ni tsh 200 wanamaanisha 2oo kama 200 au ni lugha yao kuwakilisha thamani fulani ya pesa?
Thank you!

Unachosema ni kweli mkuu, ndio maana nimewaalika wadau wamwagike zaidi. Ila ushauri wangu ni huu:-

1- Usifanye biashara ya hisa kama unataka kupata faida ya haraka, kuzungusha hela na kupata faida kwa muda mfupi.
2- Usichukue kiasi kikubwa cha mkopo benki au taasisi yeyote na kuiweka yote kwenye hisa bila kufanya utafiti wa kutosha na umakini mkubwa kwenye kampuni unayotaka kuwekeza.
3- Kwa kuwa hisa zinaongezeka thamani kutokana na ufanisi na uendeshaji mzuri wa kampuni uliyowekeza, ni vema kuweka hisa kwa hela ya ziada au usiyoihitaji kwa haraka. Ikumbukwe kwamba wingi wa hisa unakupa kiasi kikubwa cha gawio kila mwaka endapo kampuni inaenda vizuri na inapata faida.

4- Kununua hisa za kampuni fulani inamaanisha unaimiliki kwa kiwango cha hisa zake, ikipata hasara hakuna gawio na huenda bei za hisa zikashuka.
 
mkuu ahsante kwa mada nzuri ,ukishanunua hisa kinachofuata unapewa nini kutoka kwa kampuni husika .kuna cheti cha hisa hiki nini
 
mkuu ahsante kwa mada nzuri ,ukishanunua hisa kinachofuata unapewa nini kutoka kwa kampuni husika .kuna cheti cha hisa hiki nini

unapata cheti kuonyesha umiliki wako wa hisa kuna kuwa na maelezo ya msingi ya hisa ulizonunua. Huitwa Share Warranty. Lakini kwa dhati kabisa uwekezaji wa hisa tz bado una changamoto nyingi ambazo mwisho wa siku an ordinary shareholder ana ambulia patupu.

Kuna tafiti mm nafanya juu ya high yield investments kwa makampuni fulani ya nje.
 
unapata cheti kuonyesha umiliki wako wa hisa kuna kuwa na maelezo ya msingi ya hisa ulizonunua. Huitwa Share Warranty. Lakini kwa dhati kabisa uwekezaji wa hisa tz bado una changamoto nyingi ambazo mwisho wa siku an ordinary shareholder ana ambulia patupu. Kuna tafiti mm nafanya juu ya high yield investments kwa makampuni fulani ya nje.
mf.nilinunua hisa za watoto fund naalikwa kwenye mikutano hiki cheti sina ,na ukiwa umenunua hisa za shilingi ngapi ili wakupe cheti hiki.
 
unapata cheti kuonyesha umiliki wako wa hisa kuna kuwa na maelezo ya msingi ya hisa ulizonunua. Huitwa Share Warranty. Lakini kwa dhati kabisa uwekezaji wa hisa tz bado una changamoto nyingi ambazo mwisho wa siku an ordinary shareholder ana ambulia patupu. Kuna tafiti mm nafanya juu ya high yield investments kwa makampuni fulani ya nje.

Nakupongeza kwa juhudi zako. Ukimaliza huo utafiti, naomba utuletee majibu, ili tuweze kuchangamkia fursa. Wageni wakija kulima kwetu, na sisi tukashambulie kulima kwao.
 
Nico kwa sababu investment manager hakuwa na sauti aliyekuwa na sauti ni mwingine ambaye hana uzoefu na biashara ya uwekezaji mosha akawekwa na kulazimishwa kununua kiwanda cha dawa kilichokuwa kinakufa for billions of tshs
badala ya kuwa mutual fund akaifanya risk venture fund

Mimi ninazo za NICO,frankly speaking it was a bad investment
 
Shukrani SAMARITAN kwa elimu ya hisa, moja ya changamoto kubwa katika uweekezaji wa Hisa hapa kwetu TZ ni (Inflation) mfumuko waa bei, nadhani ni kuanzia 9% hadi 16%, hata kwa muda mrefu kwa kulinganisha na mapato ya hisa zilizopo inakuwa ngumu sana kufidia na kupata ziada kama faida, tafadhali nigependa ushauri/mtazamo wako kwenye hili, chukulia mfano wa CRDB...(labda km mwekezaji hana shida na hiyo pesa yake au ana surplus).
 
Hauko peke yako, hata mimi nimepoteza pesa zangu huko.

Nilipokuwa nafanya kazi nikiwa mwanachuo huko ughaibuni, kampuni ilikuwa na utaratibu wa kutoa bonus, lakini bonus hupati cash, ila unalazimika kuingia hisa kwenye makampuni makubwa NY Exchange. Bahati yangu nilikataa kuchangia kutoka mshahara wangu kwa vile sikuwa na malengo ya kubaki huko muda mrefu.

Kila robo mwaka tulitumiwa nakala ya hali halisi ya kifedha, kilichonishtua ni kudorora kwa soko pesa yangu ikaliwa 25%. Walioingia kichwa kichwa na kuchangia mishahara yao walijua kuzalia.

Mambo ya hisa kuwa makini sana, vinginevyo unaweza kutoka na kicheko cha furaha na ipo siku huzuni hata kupata ugonjwa wa moyo.
 
Nilipokuwa nafanya kazi nikiwa mwanachuo huko ughaibuni, kampuni ilikuwa na utaratibu wa kutoa bonus, lakini bonus hupati cash, ila unalazimika kuingia hisa kwenye makampuni makubwa NY Exchange. Bahati yangu nilikataa kuchangia kutoka mshahara wangu kwa vile sikuwa na malengo ya kubaki huko muda mrefu.

Kila robo mwaka tulitumiwa nakala ya hali halisi ya kifedha, kilichonishtua ni kudorora kwa soko pesa yangu ikaliwa 25%. Walioingia kichwa kichwa na kuchangia mishahara yao walijua kuzalia.

Mambo ya hisa kuwa makini sana, vinginevyo unaweza kutoka na kicheko cha furaha na ipo siku huzuni hata kupata ugonjwa wa moyo.

Nashukuru kwa ushauri na uzoefu wako mkuu, ndio maana tunataka wataalam na watu wenye uzoefu kwenye eneo hili watupe michango zaidi ili watu wanufaike na wasiwe wahanga wa uwekezaji kwenye hisa.

Nadhani si vibaya kama nikinukuu tena sehemu ya hiyo makala hapo juu

Nilikumbana na hii makala katika pitapita zangu nikiwa natafuta zaidi hii elimu ya hisa, ambayo naona hapa kwetu bado vijana na wanachi wengi kwa ujumla hauitumii vizuri. Nikaona ni vema nikishirikiana na wadau hapa JF na kwa wale wenye uzoefu na utaalam zaidi waendelee kutufahamisha....

Unapowekeza katika hisa jihadhari na makosa yafuatayo; kununua au kuuza hisa zako bila utafiti, kutokujua tofauti ya thamani ya bei, kununua kwa kuangalia jina na umaarufu wa kampuni, kutokua na malengo maalum, kununua kwa kuwa bei ni rahisi, kukosa maarifa au kutozingatia elimu ya fedha, hisa na uwekezaji, na kuwekeza fedha nyingi kwenye kampuni moja.
 
Shukrani SAMARITAN kwa elimu ya hisa, moja ya changamoto kubwa katika uweekezaji wa Hisa hapa kwetu TZ ni (Inflation) mfumuko waa bei, nadhani ni kuanzia 9% hadi 16%, hata kwa muda mrefu kwa kulinganisha na mapato ya hisa zilizopo inakuwa ngumu sana kufidia na kupata ziada kama faida, tafadhali nigependa ushauri/mtazamo wako kwenye hili, chukulia mfano wa CRDB...(labda km mwekezaji hana shida na hiyo pesa yake au ana surplus).

Uko sahihi mkuu, nashukuru kwa mchango wako. Kwakuwa umekua very specific na industry ya Benki na kwenda mbali zaidi CRDB, naomba naomba unipe muda niwe na majibu yenye uhalisia na ya kitaalam. Thanks
 
Nashukuru kwa ushauri na uzoefu wako mkuu, ndio maana tunataka wataalam na watu wenye uzoefu kwenye eneo hili watupe michango zaidi ili watu wanufaike na wasiwe wahanga wa uwekezaji kwenye hisa.

Nadhani si vibaya kama nikinukuu tena sehemu ya hiyo makala hapo juu

Ukidhamiria mtu binafsi kununua hisa unakuwa na uhuru wa kufanya utafiti na kuona kampuni yenye mwelekeo wa uchumi mzuri ikiwa ni pamoja na kujua historia ya maendeleo ya kampuni, hayo ni muhimu si kufuata tu matangazo ya biashara, hakuna anayetangaza biashara asiyeisifia chake kuvutia wateja, ila utafiti ndio utakaokupa ukweli.

Katika shauri langu, siku na nafasi ya kuchagua au kufanya upembuzi kwa vile nchi za kibepari makampuni ya kipepari hiyo ni njia moja wapo ya kutumia pesa za wafanyakazi kwa kuongeza ufanisi wa makampuni. Ndio maana huna nafasi ya kuchagua kwa sababu hawakupi hela, inakatwa moja kwa moja na kuingizwa huko nawe unaletewa tu account number yako.

Kuna faida yake kwa nchi kama za ulimwengu wetu wa Tanzania, kwani uchumi hauyumbi sana kama ilivyo kwa mataifa makubwa. Lakini kama ulivyosema si vema kuweka pesa yote huko, bora kuweka hizo unazoona huziihitaji kwa sasa na ambazo huna malengo ya kuchuma faida ya papo kwa papo.

Mambo ya ubia ni ya wenye kipato zaidi, kwa wa kipato cha chini ni vigumu kidogo maana kiwango kinachohitajika ni kikubwa, uzungumzie kuweka mamilioni si malaki. Hata hivyo kuna makampuni madogo siku za usoni yatakayoibuka baada ya elimu hii kuwafikia wengi.
 
Back
Top Bottom