Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

Wadau wa jukwaa hili najitokeza leo kwa mara ya kwanza kuomba msaada hasa kwa wale wana uchumi wenzetu juu ya somo la hisa. Ningependa kujua juu ya haya mambo kuhusiana na mada hii.

a) Hisa ni nini??
b) Naweza kuzimiliki kivipi?? ni kimaanisha umri, na kiasi na wapi?? kwa masharti gani??
c) Nitapata faida gani kwenye umiliki wa hizo hisa??
d) Je nitapataje gawiwo langu kwenye umiliki wa hisa?
e) Hasara zipatikanazo kwa ununuzi wa hisa.
f) Nitaijuaje bei ya hisa ama kuna hisa zinauzwa??
g) Kwa maisha ya kitanzania is this bussiness valid and does it pay??
Kaeleza mwanzo!
 
Vodacom wako radhi kujifanya wanatoa misaada kila siku, angalia bolg ya michuzi.

Ukiangali a shareholders wao,kama VODACOM group(65%) na Mirambo(35%),kama mtanzania wa kawaida anatakiwa ajue ni nani hawa,kiasi gani cha tax kimelipwa etc.

Je, ni nani ana audit hawa,kiasi gani waremit kweny parent company etc, ambayo haya
lazima yawe kwenye published accounts.

Sector ya communication katika nchi yoyote ni muhimu sana maana ni chanzo kikubwa
cha income.

I guess VODACOM ni kampuni ya kigeni, kwanini isiwe na dual listing?

Hawa akina Mirambo ni nani?

Nchi za Ulaya/Marekani zimeweza kuendelea kwa sababu la soko la mitaji.
Dah katika kitu inaniuma ni hisa zangu Vodacom jamaa hawapo fair kabisa Kwa wanahisa wao
 
Hello guys,

Nimefanikiwa kufungua kampuni na ku raise 100mil kama mtaji wa kuagiza mzigo.

Changamoto niliyo nayo ni Demand ni kubwa kuliko supply.

Naitaji investors wa kuwauzia hisa za kampuni.

Kampuni imesajiliwa na inavibali vyote na pia inafanya Biashara na kampuni ya Kijerumani


Naomba msaada na ushauri ni namna gani naweza kupata watu wa kuwekeze

Target yangu ni ku raise 260,000,000 kwa jili ya kuongeza invetory.

Wako katika ujenzi wa Taifa.
 
Hello guys,

Nimefanikiwa kufungua kampuni na ku raise 100mil kama mtaji wa kuagiza mzigo.

Changamoto niliyo nayo ni Demand ni kubwa kuliko supply.
Hizo mbinu ulizotumia ku-raise hizo 100m huwezi kuzitumia tena kuraise 160m ?
Naitaji investors wa kuwauzia hisa za kampuni.

Kampuni imesajiliwa na inavibali vyote na pia inafanya Biashara na kampuni ya Kijerumani
Kwahio unahitaji procedure za kuuza hisa au procedure unazo na ushaanza mchakato na unataka watu wa kuwapa hizo Hisa ?, Hapo swali litakuja Hisa unauzaje na kampuni yako ipo valued kiasi gani
Naomba msaada na ushauri ni namna gani naweza kupata watu wa kuwekeze

Target yangu ni ku raise 260,000,000 kwa jili ya kuongeza invetory.

Wako katika ujenzi wa Taifa.
Kwanini usiongee na hao wanao-kusupply mzigo uweze kupata mzigo kwa kuweka percent fulani ya pesa ? Au nenda benki na letter of credit kwamba tayari una soko unataka tu mtaji wa kuleta mzigo ? , By the way unajuaje kama mzigo upo bandarini haujatoka na wengine wakaona chimbo lako hence kuingiza mzigo sokoni na hio targeted price kushuka ? In short hapa unachouza ni connection / Wateja wa huo mzigo wako ? Ushauri hao suppliers wako ongea nao ndio wawe partners wako
 
Hizo mbinu ulizotumia ku-raise hizo 100m huwezi kuzitumia tena kuraise 160m ?

Kwahio unahitaji procedure za kuuza hisa au procedure unazo na ushaanza mchakato na unataka watu wa kuwapa hizo Hisa ?, Hapo swali litakuja Hisa unauzaje na kampuni yako ipo valued kiasi gani

Kwanini usiongee na hao wanao-kusupply mzigo uweze kupata mzigo kwa kuweka percent fulani ya pesa ? Au nenda benki na letter of credit kwamba tayari una soko unataka tu mtaji wa kuleta mzigo ? , By the way unajuaje kama mzigo upo bandarini haujatoka na wengine wakaona chimbo lako hence kuingiza mzigo sokoni na hio targeted price kushuka ? In short hapa unachouza ni connection / Wateja wa huo mzigo wako ? Ushauri hao suppliers wako ongea nao ndio wawe partners wako
Asante Ndugu kwa ushauri,

Kwa Upande wa Bank wanataka cashflow ya Miezi6 nimesha enda Tanzania Investment Bank (TIB), wakaniambia wana fund Viwanda na sio Trading company.

Kwa upande wa supplier wamesema mpka baada ya mwaka1 ndo wanaweza kunitumia mzigo na kulipia kidogo kidogo.

Ndugu nimezunguka sana nimesha pigwa na jua sana mpaka kuipata hiyo ela ya startup.

Watanzania hawamini kwenye startup investment, watu wako wazi waweke ela Bank zikae tu.

Kuna Mda natamani angekuwa hai Marehemu Mzee Mengi, ningekuwa nsha toboa mda sana. Maana nimekuwa kwenye hii industry for 6years as a Managing Director.
 
Hizo mbinu ulizotumia ku-raise hizo 100m huwezi kuzitumia tena kuraise 160m ?

Kwahio unahitaji procedure za kuuza hisa au procedure unazo na ushaanza mchakato na unataka watu wa kuwapa hizo Hisa ?, Hapo swali litakuja Hisa unauzaje na kampuni yako ipo valued kiasi gani

Kwanini usiongee na hao wanao-kusupply mzigo uweze kupata mzigo kwa kuweka percent fulani ya pesa ? Au nenda benki na letter of credit kwamba tayari una soko unataka tu mtaji wa kuleta mzigo ? , By the way unajuaje kama mzigo upo bandarini haujatoka na wengine wakaona chimbo lako hence kuingiza mzigo sokoni na hio targeted price kushuka ? In short hapa unachouza ni connection / Wateja wa huo mzigo wako ? Ushauri hao suppliers wako ongea nao ndio wawe partners wako
Hiyo 260mil ni kwajili ya Invetory ambayo naweza toboa nayo kwa muda wa miezi 5.
 
 
Kuna Mda natamani angekuwa hai Marehemu Mzee Mengi, ningekuwa nsha toboa mda sana. Maana nimekuwa kwenye hii industry for 6years as a Managing Director.
Ulikuwa unamfahamu ? Kwamba angekupa ? Binafsi sikumjua ila ninajua wahasibu kutoa kwao pesa sio lelemama pia binadamu walivyo kuwa macho sana unaweza kuwapelekea proposal na kuwaonyesha chimbo wakaanza kujiuliza kwanini wanakuhitaji wewe wakakupiga chini na kuendelea pale ulipoishia wewe sometimes ni better uendelee wewe polepole na kujiongeza kuliko kuingia wawekezaji ambao wanakuja na headaches...
 
Ulikuwa unamfahamu ? Kwamba angekupa ? Binafsi sikumjua ila ninajua wahasibu kutoa kwao pesa sio lelemama pia binadamu walivyo kuwa macho sana unaweza kuwapelekea proposal na kuwaonyesha chimbo wakaanza kujiuliza kwanini wanakuhitaji wewe wakakupiga chini na kuendelea pale ulipoishia wewe sometimes ni better uendelee wewe polepole na kujiongeza kuliko kuingia wawekezaji ambao wanakuja na headaches...
True Bro, ila kwa upande wangu nimesha jidhatiti kwa hili kwani na Mikataba ni vigumi sana mtu kunipiga Chini. Mpaka hapa nilipo fikia hayo yamesha nikuta sana nimesha piga dili na watu tofauti na nikambulia patupu, But hainikatishi tamaa, Naamini Mti wenye Matunda haukosi kutupiwa nawe, Na saa nyengine Mungu anakupa Mafundisho kwa Kupitia Binadamu wenzako. Ndugu i have been a lot aisee. Mafanikio ni Vita. So am prepared for anything ila i won't give up till my last breath
 
True Bro, ila kwa upande wangu nimesha jidhatiti kwa hili kwani na Mikataba ni vigumi sana mtu kunipiga Chini. Mpaka hapa nilipo fikia hayo yamesha nikuta sana nimesha piga dili na watu tofauti na nikambulia patupu, But hainikatishi tamaa, Naamini Mti wenye Matunda haukosi kutupiwa nawe, Na saa nyengine Mungu anakupa Mafundisho kwa Kupitia Binadamu wenzako. Ndugu i have been a lot aisee. Mafanikio ni Vita. So am prepared for anything ila i won't give up till my last breath
Hapo juu nilikwambia cheki kuhusu letter of Credit (Sio Loan per Se) bali letter of Credit sababu kama wateja unao na wana uhakika kwamba mzigo ukifika unalipwa Benki au financial institution inakuwa haijarisk sana...

 
Back
Top Bottom