sodoliki
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,594
- 2,016
hii ni kuwagandamiza watanzania tena, kwanza uchumi mmeudumaza na watanzania wengi wameshindwa kununua hisa za Vodacom, sasa mmetunga sheria kulazimisha makampuni ya simu yauze hisa DSE, na mnaruhusu wageni, hii ni danganya toto, sawa na kutoa mfuko wa kushoto kuweka mfuko wa kulia. Hii tena watanzania mmewapiga changa la moto. hongereni