Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Habari za muda wakuu,
Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) limesema idadi ya mauzo kwa wiki iliyopita yamepungua kwa 77% hadi kufikia Sh. bilioni 6.6 kutoka Sh. bilioni 29.1
Pia ndugu zangu hata ukubwa wa mtaji wa soko umeshuka kwa kiasi cha asilimia 0.6 hadi kufikia Sh Trilion 21.7 kutoka Sh Trilion 21.8.
Nako katika sekta ya viwanda huko nako wiki hii imeongezeka kwa point 1.72 baada ya bei za hisa za kampuni ya simu TCCL kupanda kwa asilimia 3.13 na kampuni ya TOL kwa asilimia 1.27.
Chanzo: Raia Tanzania
Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) limesema idadi ya mauzo kwa wiki iliyopita yamepungua kwa 77% hadi kufikia Sh. bilioni 6.6 kutoka Sh. bilioni 29.1
Pia ndugu zangu hata ukubwa wa mtaji wa soko umeshuka kwa kiasi cha asilimia 0.6 hadi kufikia Sh Trilion 21.7 kutoka Sh Trilion 21.8.
Nako katika sekta ya viwanda huko nako wiki hii imeongezeka kwa point 1.72 baada ya bei za hisa za kampuni ya simu TCCL kupanda kwa asilimia 3.13 na kampuni ya TOL kwa asilimia 1.27.
Chanzo: Raia Tanzania