Soko la ajira kwa geography and environment studies

FezzyJoe

Senior Member
Jun 2, 2017
115
45
Waungwana naomba kufahamu upana wa nafasi za ajira kwa aliyesoma course ya geography and environment studies kwa Tanzania na Africa mashariki.
 
Waungwana naomba kufahamu upana wa nafasi za ajira kwa aliyesoma course ya geography and environment studies kwa Tanzania na Africa mashariki.
Mdogo wangu kugraduate 2013 Ajira haipo kabisa
 
Waungwana naomba kufahamu upana wa nafasi za ajira kwa aliyesoma course ya geography and environment studies kwa Tanzania na Africa mashariki.
HAKUNA AJIRA. Na unapotaka kwenda chuo kikuu nenda na kiu ya kupata elimu ya ndoto zako tu sio matumaini ya kuajiriwa ukimaliza shahada. Jiandae kwa yote.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom