soko kwa ajili ya kuuza bata mzinga

Mimi pia ninao ukweli yai lake moja ni sh elfu tano tu mawili elfu kumi. Ukweli hawa ndege ni watamu sana na ni bei kubwa kutokana na tamaduni za wenzetu wanazitumia sana, na pia ukuwaji wao ni shughuli kidogo kama ni mtu wa kukata tamaa haraka utaishia kuwaweka pambo tu bila kuongezeka wale ulioanza nao, maana hawataki shida. Nemyingwa Mhina

Nayma, kama mayai yapo tuaomba contact zako tafadhali, tunataka nasi tujaribu kuwafuga.
 
Ney hujambo dada,

Kitomari kachafua hewa na bata mzinga, naamini wewe hutatuangusha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom