Soko Kuu la Samaki Kivukoni asilimia kubwa samaki wanatoka nje ya nchi

menny terry

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
509
667
Wakuu,

Kama Vlogger ambaye huwa natembelea na ku share mambo mbalimbali ninayo yaona kwanza nipongeze mamlaka husika Kwa usimamizi mzuri wa soko kuu la samaki kivukoni, ila nimeshangazwa sana nilipotembelea soko kuu la samaki kivukoni na kugundua asilimia kubwa ya samaki wanaagizwa nje ya nchi yaani China, Vietnam Na kwingineko. Ni kweli bado hatuwezi kuwa Na Uwezo wa kujilisha wenyewe samaki?




Nawasilisha.
 
Watu wana lamba asali bwashee.

Ila nimesikia kule kilwa wanajiandaa kujenga bandari kubwa ya uvuvi ngoja tuone muda utaongea.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wakuu,

Kama Vlogger ambaye huwa natembelea na ku share mambo mbalimbali ninayo yaona kwanza nipongeze mamlaka husika Kwa usimamizi mzuri wa soko kuu la samaki kivukoni, ila nimeshangazwa sana nilipotembelea soko kuu la samaki kivukoni na kugundua asilimia kubwa ya samaki wanaagizwa nje ya nchi yaani China, Vietnam Na kwingineko. Ni kweli bado hatuwezi kuwa Na Uwezo wa kujilisha wenyewe samaki?




Nawasilisha.


Zaidi ya vibua ambao hatuwapati kwenye bahari yetu ni aina gani nyingine ya samaki tunaagiza?
 
Wakuu,

Kama Vlogger ambaye huwa natembelea na ku share mambo mbalimbali ninayo yaona kwanza nipongeze mamlaka husika Kwa usimamizi mzuri wa soko kuu la samaki kivukoni, ila nimeshangazwa sana nilipotembelea soko kuu la samaki kivukoni na kugundua asilimia kubwa ya samaki wanaagizwa nje ya nchi yaani China, Vietnam Na kwingineko. Ni kweli bado hatuwezi kuwa Na Uwezo wa kujilisha wenyewe samaki?




Nawasilisha.

Wavuvi wa Tanzania hawana vifaa kama bado watu wanatumia majahazi na maboti ya mbao unategemea nin, angalia wavuvi wa japana Wana vifaa vya Hali ya juu
 
Nyie si mnavua kimaskini
Kuna watu wanavua wanaenda deep sea
Watu wana vyombo vya uhakika na vifaa
Nyie mnavua vidagaaa tu

Ova
 
Wakuu,

Kama Vlogger ambaye huwa natembelea na ku share mambo mbalimbali ninayo yaona kwanza nipongeze mamlaka husika Kwa usimamizi mzuri wa soko kuu la samaki kivukoni, ila nimeshangazwa sana nilipotembelea soko kuu la samaki kivukoni na kugundua asilimia kubwa ya samaki wanaagizwa nje ya nchi yaani China, Vietnam Na kwingineko. Ni kweli bado hatuwezi kuwa Na Uwezo wa kujilisha wenyewe samaki?




Nawasilisha.


Hii taarifa yako nina mashaka nayo
Samaki kuingia nchini ni kama ushuru ulipanda watu wakaacha hiyo biashara
 
Wakuu,

Kama Vlogger ambaye huwa natembelea na ku share mambo mbalimbali ninayo yaona kwanza nipongeze mamlaka husika Kwa usimamizi mzuri wa soko kuu la samaki kivukoni, ila nimeshangazwa sana nilipotembelea soko kuu la samaki kivukoni na kugundua asilimia kubwa ya samaki wanaagizwa nje ya nchi yaani China, Vietnam Na kwingineko. Ni kweli bado hatuwezi kuwa Na Uwezo wa kujilisha wenyewe samaki?




Nawasilisha.
HUWEZI KUNA NA SOKO LA SAMAKI kwa kutegemea Wavuvi wa NDOANA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
TAFICO ilianzishwa,mkakati ulikuwa mzuri lakini
Ilikufiliaa mbali

Ova
 
Sekta ya uvuvi ni moja ya vipaumbele bya serikali ya awamu ya sita. Naamini kutakuwa na mabadiliko
Serikali ya awamu ya sita itakachofanya ni kuwauzia wachina bahari zote wavue.

Hii ni serikali ya kuuza. Ndugai alisema ipo siku hii nchi itapigwa mnada, tunashugudia kwa macho yetu.
 
Back
Top Bottom