Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Soko la Masasi, Mkoa wa Mtwara linateketea kwa Moto mida hii na hakuna juhudi zozoe za kuuzima mto huo.
=======Muendelezo======
Chanzo cha ajali hadi sasa hakijajulikana.Gari la zima moto ndio limeingia saa hii.
=======Muendelezo======
Chanzo cha ajali hadi sasa hakijajulikana.Gari la zima moto ndio limeingia saa hii.
Tangia muda wa saa tano usiku huu soko kuu la Masasi (Mkuti ) linaungua kutokana na shoti ya Umeme na hadi naliport hakuna juhudi za Serikali za kuzima moto huo zaidi ya local ways zinazotumiwa na wanainchi.
Ila hata hivyo moto umewashinda na kilichobaki sio kuzima bali.ni kuokoa vichache vitavyopatikana na hasa sehemu ambazo moto haujadaka.
Moto ni mkubwa kiasi wenye mali wamelazimika kulia, na kumshukuru Mungu kwani katwaa neema yake.