chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,551
- 2,072
Nianze kwa salaam, habarini ndugu.
Niende moja kwa moja kwenye maada. Kitendo cha Soko hapo dodoma, kupewa jina la job ndugai ni kosa kubwa. Ikumbukwe kina mzee makamba, waliomba hata majina yao yapewe hata mtaa au barabara, lkn waligomewa na kuitwa wasaliti licha ya uzalendo wao wa muda mrefu ndani ya chama na taifa.
Ni kuwakosea heshima.
Nakaribisha hoja
Niende moja kwa moja kwenye maada. Kitendo cha Soko hapo dodoma, kupewa jina la job ndugai ni kosa kubwa. Ikumbukwe kina mzee makamba, waliomba hata majina yao yapewe hata mtaa au barabara, lkn waligomewa na kuitwa wasaliti licha ya uzalendo wao wa muda mrefu ndani ya chama na taifa.
Ni kuwakosea heshima.
Nakaribisha hoja