Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,857
- 2,345
Baada ya shughuli za uchaguzi mkuu kwisha, inaonekana wafanyabiashara maeneo ya soko kuu Arusha wameamua kufanyia biashara zao katikati ya barabara kiasi kwamba inakuwa vigumu kupita na gari kwenye barabara zilizo pembezoni mwa soko hilo.
Sina hakika kama Mkurugenzi wa jiji ameamua kufumba macho, au kuna mkono wa siasa ndani yake, lakini kwa kweli ni karaha kupita maeneo hayo hasa ukiwa na gari.
Sina hakika kama Mkurugenzi wa jiji ameamua kufumba macho, au kuna mkono wa siasa ndani yake, lakini kwa kweli ni karaha kupita maeneo hayo hasa ukiwa na gari.