Soka la Kiafrika lina Mambo Mengi sana

Linguistic

JF-Expert Member
Mar 16, 2021
3,671
8,237
Wakuu Mpira wa Afrika una mambo mengi sana, yaani ukiziangalia hizi mechi mbili ile ya kwanza kule SA na hii ya jana Temeke unaona kuna nguvu kubwa sana inatumika nje ya uwanja.

Ukiitizama Simba iliyocheza SA na Simba ya jana ni timu mbili tofauti kabisa.

Pia ukiitizama Kaizer Chiefs ya jana na ile Kaizer Chief's ya last week Huko SA ni timu mbili tofauti kabisa.
 
Wakuu Mpira wa Afrika una mambo mengi sana,yaani ukiziangalia hizi mechi mbili ile ya kwanza kule SA na hii ya jana Temeke unaona kuna nguvu kubwa sana inatumika nje ya uwanja.
.....
Ukiitizama Simba iliyocheza SA na Simba ya jana ni timu mbili tofauti kabisa.
.....
Pia ukiitizama Kaizer Chiefs ya jana na ile Kaizer Chief's ya last week Huko SA ni timu mbili tofauti kabisa.
Kwa mawazo ya aina hii, itachukua miaka mingi sana kwa Bara la Afrika kupiga hatua kubwa ya kimaendeleo kama wenzetu wa Ulaya na Marekani.
 
Si useme tu Simba wachawi mbona unazunguka?
Na hii mechi imekua ni ushahidi mzuri sana hata kwa yanga kufanywa wawe wazito kwenye kuzifumania nyavu eti Sapong hafungi ooh nchimbi hajafunga mwaka mzima...
Yote hiyo ni simba kuhangaika kwa waganga kuwafunga kichawi wachezaji wetu yanga
Sasa Kaizer jana wamekua wazito hawajitambui hata kupokea pasi mtu hawezi! Hata kukimbia ni shida kuna mmoja alitakabku chop mpira amfunge Manula Dah alikakamaa miguu palepale wote tumeshuhudia
Simba wanachafua taswira ya soka nchini kwa kutegemea uchawi na si uwezo kama yanga.Ns kumbe ukichunguza sana game zingine alizoshinda simba champions league ilikua ni nguvu za giza tu...mfano alivyomshinda mwarabu na As Vita
 
Si useme tu Simba wachawi mbona unazunguka?
Na hii mechi imekua ni ushahidi mzuri sana hata kwa yanga kufanywa wawe wazito kwenye kuzifumania nyavu eti Sapong hafungi ooh nchimbi hajafunga mwaka mzima...
Yote hiyo ni simba kuhangaika kwa waganga kuwafunga kichawi wachezaji wetu yanga
Sasa Kaizer jana wamekua wazito hawajitambui hata kupokea pasi mtu hawezi! Hata kukimbia ni shida kuna mmoja alitakabku chop mpira amfunge Manula Dah alikakamaa miguu palepale wote tumeshuhudia
Simba wanachafua taswira ya soka nchini kwa kutegemea uchawi na si uwezo kama yanga.Ns kumbe ukichunguza sana game zingine alizoshinda simba champions league ilikua ni nguvu za giza tu...mfano alivyomshinda mwarabu na As Vita
Mbn unateseka mkuu..Yule alibanwa na msuli ndy maana Hali ilikuwa vile,hakuna kulogwa pale
 
Si useme tu Simba wachawi mbona unazunguka?
Na hii mechi imekua ni ushahidi mzuri sana hata kwa yanga kufanywa wawe wazito kwenye kuzifumania nyavu eti Sapong hafungi ooh nchimbi hajafunga mwaka mzima...
Yote hiyo ni simba kuhangaika kwa waganga kuwafunga kichawi wachezaji wetu yanga
Sasa Kaizer jana wamekua wazito hawajitambui hata kupokea pasi mtu hawezi! Hata kukimbia ni shida kuna mmoja alitakabku chop mpira amfunge Manula Dah alikakamaa miguu palepale wote tumeshuhudia
Simba wanachafua taswira ya soka nchini kwa kutegemea uchawi na si uwezo kama yanga.Ns kumbe ukichunguza sana game zingine alizoshinda simba champions league ilikua ni nguvu za giza tu...mfano alivyomshinda mwarabu na As Vita
Ndugu una hasira ndugu, yule Dereva mumtaarifu mapema afanye uhakiki wa bus mapema atahitajika sana kuokoa timu tarehe 3
 
Si useme tu Simba wachawi mbona unazunguka?
Na hii mechi imekua ni ushahidi mzuri sana hata kwa yanga kufanywa wawe wazito kwenye kuzifumania nyavu eti Sapong hafungi ooh nchimbi hajafunga mwaka mzima...
Yote hiyo ni simba kuhangaika kwa waganga kuwafunga kichawi wachezaji wetu yanga
Sasa Kaizer jana wamekua wazito hawajitambui hata kupokea pasi mtu hawezi! Hata kukimbia ni shida kuna mmoja alitakabku chop mpira amfunge Manula Dah alikakamaa miguu palepale wote tumeshuhudia
Simba wanachafua taswira ya soka nchini kwa kutegemea uchawi na si uwezo kama yanga.Ns kumbe ukichunguza sana game zingine alizoshinda simba champions league ilikua ni nguvu za giza tu...mfano alivyomshinda mwarabu na As Vita

Chaajabu CAF wanaendelea kutuongezea nafasi zaushiriki wakati wanajua tunachafua taswira ya soka nchini
 
Si useme tu Simba wachawi mbona unazunguka?
Na hii mechi imekua ni ushahidi mzuri sana hata kwa yanga kufanywa wawe wazito kwenye kuzifumania nyavu eti Sapong hafungi ooh nchimbi hajafunga mwaka mzima...
Yote hiyo ni simba kuhangaika kwa waganga kuwafunga kichawi wachezaji wetu yanga
Sasa Kaizer jana wamekua wazito hawajitambui hata kupokea pasi mtu hawezi! Hata kukimbia ni shida kuna mmoja alitakabku chop mpira amfunge Manula Dah alikakamaa miguu palepale wote tumeshuhudia
Simba wanachafua taswira ya soka nchini kwa kutegemea uchawi na si uwezo kama yanga.Ns kumbe ukichunguza sana game zingine alizoshinda simba champions league ilikua ni nguvu za giza tu...mfano alivyomshinda mwarabu na As Vita
Kama kwa mpira na spirit ile waliyokuwa nayo Simba ni nguvu za uchawi basi uchawi ni mzuri kuliko sala.
 
Back
Top Bottom