wadzelino
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 205
- 316
Binafsi huwa siwaelewi bodi ya Ligi wala TFF. Yani timu hizi mbili hasa wale wa ngumi mkononi Ratiba ikipangwa wataambiwa waanze mechi kumi nyumbani ili wapate hela ya kusafiria.
Sasa hiyo ni Ligi au ni Ligi ya timu mbili tu?
Au wengine wacheze saa nane mchana ilihali wengine siyo, pana usawa kweli hapo?
Hebu tujifunze kutoka kwa wenzetu, Man City, Liverpool, Chelsea, Man U, wanaweza kucheza wakati wowote na wanaweza kuzindua pazia la Ligi pasipo upendeleo.
Najua timu mihemko watakuja na povu!
Sasa hiyo ni Ligi au ni Ligi ya timu mbili tu?
Au wengine wacheze saa nane mchana ilihali wengine siyo, pana usawa kweli hapo?
Hebu tujifunze kutoka kwa wenzetu, Man City, Liverpool, Chelsea, Man U, wanaweza kucheza wakati wowote na wanaweza kuzindua pazia la Ligi pasipo upendeleo.
Najua timu mihemko watakuja na povu!