Japokuwa mm si mtaalam wa computer sana lakn ni mtumiaji sana na nafikiri kwa uelewa wangu mtanisaidia ktk hili. Hapo kabla nilikuwa natumia real player kwa ajili ya kuzi-capture movie, nyimbo, au clips nyingine toka kwenye internet ili nizi-save kwenye pc yangu lakn naona sasa hv hii real player haifanyi kazi hiyo kwani nilikuwa nimezoea ikitokea na-download file la aina hizo nilizozisema hapo juu huwa inajitokeza real plyer inakuuliza kama unataka kui-save movie hiyo lakn sa hivi haitokei, nifanyeje? au kama kuna-software nyingine nijulisheni niendelee kufaidi