Tupo pamoja katika hilo, nitakuwa mwanachama namba mbili baada ya wewe, lakini iwapo Azimio La Arusha litafanyiwa marekebisho kidogo/machache sana. Tunahitaji chama cha namna hiyo.
Mkuu ujamaa ni sawasawa na ubepari i.e. ujamaa=ubepari
Wakati ujamaa wanaomiliki mali ni serikali (theoritcally) lakini in fact wanaomiliki ni viongozi wa chama au walio na madaraka
Ubepari wanaomiliki mali ni kampuni binafsi (watu wachache) in fact lazima wawe na uhusiano mzuri na wenye madaraka
Ujamaa ni siasa za kale ambazo hazina tija kwa nchi na watu wake; muhimu tuangalie something between those "extreme opposite sides"