Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,690
- 20,450
Watu wamepania kuwazomea wabunge kwa kujipandishia posho kwa kiwango kikubwa! Pia wawakilishi watazomewa kwa kuvaa jezi za udhamini wa pombe huku wakivizuia vilabu vyao Zanzibar kudhaminiwa na pombe! Tusubiri muda kama hawa wapenzi wa soka watatimiza kile walichopania