So you think you are important?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,460
39,928
Wakati mwingine katika ulimbukeni wa kiburi chetu, na kwa kutumaini akili zetu na mafanikio yetu twaweza kujiona ni watu muhimu sana katika picha kubwa ya ulimwengu. Hebu fikiria kwa kufuata picha hizi:

1: Dunia na sayari iliyozipita ukubwa. Kwa hakika Dunia inatamba!

Picha_ya_Kwanza.JPG


2: Ukiongeza Jupiter, Uranus na Neptune, Dunia inaanza kuchukua mahali pake katika sayari za eneo letu.

picha_ya_Pili.JPG


3: Ukiongeza na Jua kama Mkuu wa Mfumo wetu wa Sayari, mambo yanakuwa hivi:

picha_ya_tatu.JPG


4. Sasa ukiingiza Nyota ya Antares ambazo zote iko kwenye galaksi yetu ya "Njia ya Maziwa" basi duniani na jua letu vinaonekana hivi katika picha kubwa.

picha_ya_tano.JPG


5:Sasa haya magalaksi kama ya kwetu, lingekuwa moja afadhali yako mamilioni! yenye majua na sayari zake! Hii ni kutoka darubini ya hubble!

picha_ya_sita.JPG


6: Sasa kwenye hiyo picha ya juu kuna maeneo ambayo yana giza na huwezi kuona nyota yoyote. Ukielekeza kamera maeneo hayo yenye giza na kumagnify kilichofikicha, this is what you get!

picha_ya_saba.JPG


So: Do really think you are that important in the grand scheme of things, bado unafikiri una sababu kudengua, nyodo, na kujiona ni bora kuliko yule aliyevipanga vitu vyote kwa umahiri mkubwa namna hii vikawa? Well you are not
 
The feeling of being important to your surroundings (watu, wanyama, na mazingira) is what keeps everyone going....

Well, whether you are really important or not, is a very different issue...

Kwa hiyo, nyodo, madoido, majigambo na vikorombwezo vingine vyote belong to a pool of "attitude." Na ni attitude ndio inayotufanya tuwe unique from each other....and of course, hiyo ndiyo inayo push every drive in our system...

Imagine siku utakayokuja jua for sure kwamba wewe ni nothing but "empty" human being, will you have any other reason to live??

Oh yeah, there is a limit though..... sikio haliwezi kuzidi kichwa. So huyo mheshimiwa aliyepanga hizo tufe kwa namna alivyopanga ni mukichwa.... no doubt!
 
QM... ndio maana katika maisha haya tunayoishi sisi kama wanadamu lazima tuishi kwa kutumia perspective. Leo hii Wamarekani na Wairan wanatunishiana misuli kana kwamba wakiilipua dunia wenzetu wana kijiji cha ziada cha kukimbilia. The whole idea of war katika kasayari ketu haka ni idea ya kijinga, na ukifiria sana utaona kuwa hata dhana nzima ya mipaka n.k na watu kujiona wako juu ya wengine yote ni bure kabisa.

Tungekuwa na umakini mkubwa kuwa katika umuhimu wetu basi tunainuana na kuhakikisha sote tunafanikiwa. Hivi kikija kimondo kikubwa na kufyeka nusu ya dunia.. si tutaona neno "mipaka" limepoteza umuhimu wake.
 
hivi mtu unajijuaje kama una nyodo, madaha, maringo, majivuno n.k, inabidi usubiri uambiwe kuwa uko hivyo au inabidi ujigundue mwenyewe?
 
hivi mtu unajijuaje kama una nyodo, madaha, maringo, majivuno n.k, inabidi usubiri uambiwe kuwa uko hivyo au inabidi ujigundue mwenyewe?

wapo wengine wanajitambua mama bila hata kuambiwa sababu wana jiona kwamba wao wapo tofauti na wengine
 
hivi mtu unajijuaje kama una nyodo, madaha, maringo, majivuno n.k, inabidi usubiri uambiwe kuwa uko hivyo au inabidi ujigundue mwenyewe?


ukiona watu wanakukimbia, hawakualiki, unakuwa wa mwisho kujua kinachoendelea, na zaidi ya yote ukijiona unajifikiria wewe mwenyewe zaidi na mawazo yako yanalenga kujifurahisha wewe mwenyewe.. basi una mwelekeo wa kuwa na maringo, nyodo, madaha n.k don't ask me how I knew that.. !
 
ukiona watu wanakukimbia, hawakualiki, unakuwa wa mwisho kujua kinachoendelea, na zaidi ya yote ukijiona unajifikiria wewe mwenyewe zaidi na mawazo yako yanalenga kujifurahisha wewe mwenyewe.. basi una mwelekeo wa kuwa na maringo, nyodo, madaha n.k don't ask me how I knew that.. !

you are one of them na ukajijua bila kusubiri kuambiwa?
 
Tunakaa katika sayari ndogo, iliyo katika nyota ndogo .The Sun is a yellow dwarf, actually a blessing in disguise, nyota kubwa huunguza hydrogen kwa kasi na hivyo huwa na maisha mafupi kabla ya kulipuka katika supernovae, nyota yetu "jua" ni ndogo sana na haiwezi kulipuka supernovae.Nyota hii ipo katika viunga vya nje vya Galaxy yetu ya "Milky Way" which is another blessing, the inner core of a galaxy is much too chaotic and hot to support life as we know it.

Our planet's size, although not too big, is also a blessing in disguise, or as some scientist like to look at it, a manifestation of the anthropic principle, that you are here to observe the universe and ask questions because the settings of the universe allow you to do so.If the earth was much bigger than it is then the force of gravity would render life impossible.If it was too small then there would be no gravity to support an atmosphere and life.

We are just where we need to be, at least for the next 5 billion years until the sun runs out of fuel and becomes a red giant and engulfs all of us in its flames before dimming.

That is if global warming, peak oil, ozone depletion, nuclear warfare, AIDS and other epidemics will not get us in the next 200 years.
 
hivi mtu unajijuaje kama una nyodo, madaha, maringo, majivuno n.k, inabidi usubiri uambiwe kuwa uko hivyo au inabidi ujigundue mwenyewe?

Mama,
Either or inaweza kufanya kazi. Lakini mara nyingi ni watu waliokuzunguka ndio wana wanaogundua tabia yako.

Tatizo ni kwamba wengi wetu tunachanganya kiwango (standard) cha mtu na tabia yake. Pengine kwa sababu kuna mstari mwembamba sana kati ya status hizi mbili. Na matokeo yake tunaishia ku-prejudice.

Tabia inatokana na mazoea ya kufanya kitu/vitu fulani kwa muda mrefu. Kiwango kinatokana na msimamo/ngazi/daraja ambalo mtu amejiwekea katika maisha yake.

Nyodo, madaha, maringo, na majivuni ni sehemu ya tabia ya mtu. Kukataa lift ya mgongo-wa-chura, na badala yake kukubali ile ya 504-Guruwe, ni kiwango mpewaji lift amejiwekea.
 
you are one of them na ukajijua bila kusubiri kuambiwa?


hisia zako nahisi ni dume!! kwani MMkj ni m2 wa wa2 sana hana hizo sifa hata kidogo labda km ni muwe waaarabu wa pemba mwajuana kwa vilemba
 
Nasubiri Pundit atasema nini na mambo haya ya ma universe na galaxy, na jinsi atakavyo linganisha swala hili na maringo, nyondo, upole, n.k. za binadamu na uhusiano wake na wenzake.

Hata hivyo kwa maoni yangu, naona wote mko sawa hapo juu.
 
.... aaaaarrrgh, kumbe kesha post wakati naandika ... lakini kaacha ku-correlate na mambo ya 'nyodo'...:)
 
ukiona watu wanakukimbia, hawakualiki, unakuwa wa mwisho kujua kinachoendelea, na zaidi ya yote ukijiona unajifikiria wewe mwenyewe zaidi na mawazo yako yanalenga kujifurahisha wewe mwenyewe.. basi una mwelekeo wa kuwa na maringo, nyodo, madaha n.k don't ask me how I knew that.. !

Mwanakijiji hii ni tabia ya CHAMA CHA MAPINDUZI?my thought..
 
Tunakaa katika sayari ndogo, iliyo katika nyota ndogo .The Sun is a yellow dwarf, actually a blessing in disguise, nyota kubwa huunguza hydrogen kwa kasi na hivyo huwa na maisha mafupi kabla ya kulipuka katika supernovae, nyota yetu "jua" ni ndogo sana na haiwezi kulipuka supernovae.Nyota hii ipo katika viunga vya nje vya Galaxy yetu ya "Milky Way" which is another blessing, the inner core of a galaxy is much too chaotic and hot to support life as we know it.

Our planet's size, although not too big, is also a blessing in disguise, or as some scientist like to look at it, a manifestation of the anthropic principle, that you are here to observe the universe and ask questions because the settings of the universe allow you to do so.If the earth was much bigger than it is then the force of gravity would render life impossible.If it was too small then there would be no gravity to support an atmosphere and life.

We are just where we need to be, at least for the next 5 billion years until the sun runs out of fuel and becomes a red giant and engulfs all of us in its flames before dimming.

That is if global warming, peak oil, ozone depletion, nuclear warfare, AIDS and other epidemics will not get us in the next 200 years.

Pundit - you just got to make it sooo technical!!!
 
hivi mtu unajijuaje kama una nyodo, madaha, maringo, majivuno n.k, inabidi usubiri uambiwe kuwa uko hivyo au inabidi ujigundue mwenyewe?

wewe unaweza usijijue kama kama una nyondo au maringo..na hii yote inatokana na kiburi mtu alicho nacho... na katika kujishebedua unaonyesha nyodo,maringo n.k na ndipo watu wengine wanapoona na kuhitimisha kuwa una nyodo na maringo....
Madaha nadhani ni more positive na nadra hukera kama nyodo na maringo/majivuno.
Humuhumu kwenye JF tunaweza kujipima kwa kusoma tunachoandika au kujibu wengine au kuwahukumu wengine! Tupo wenye arrogance kwa vilie tunajiona tumejaliwa elimu au uelewa wa mabo kuliko wengine, command of language n.k.Wewe pitia threads mbalimbali utaona wazi ninachosema.
 
you are one of them na ukajijua bila kusubiri kuambiwa?

You might be very right.. that is why I let other people judge me, they might be right, which helps me to be in check all the time. I have no illusion of thinking myself as being important. In the great grand scheme of things.. I'm not only dwarfed by the very idea of importance but totally reduced to irrelevant by it. The only thing, I feel I'm doing is like mchwa kuchimba kichuguu, each one playing his/her party albeit unnoticed one..

so, like Eddie Murphy to Lisa in "Coming to America" ... "you judged correctly, once again"
 
Ukitaka kujua kama binadamu hatakiwi kuwa na nyodo kwenye ma galaxies mbali sana huko, angalia picha za matumbo yaliyochanwa na ndani ya mwili kiujumla.

Katika dunia yetu kuna watu takriban billion 7.

Katika ulimwengu kuna galaxies angalau billion 100 (Carl Sagan) na wengine wanasema billion 200. Galaxy yetu ya Milky Way peke yake ina nyota billion 400. Ukifanya Galaxy ya kawaida iwe na nyota billion 200 na kuwe na galaxy billion 200 unapata nyota 4,000,000,000,000,000,000 zilizopo katika eneo lenye radius ya 13.5 light years, to put a light year which is a unit of distance, not time, in perspective the 150 million kms to the sun is a mere 7 light seconds.

Do you still think you are all that?
 
Ukitaka kujua kama binadamu hatakiwi kuwa na nyodo kwenye ma galaxies mbali sana huko, angalia picha za matumbo yaliyochanwa na ndani ya mwili kiujumla.

Katika dunia yetu kuna watu takriban billion 6.

Katika ulimwengu kuna galaxies angalau billion 100 (Carl Sagan) na wengine wanasema billion 200. Galaxy yetu ya Milky Way peke yake ina nyota billion 400. Ukifanya Galaxy ya kawaida iwe na nyota billion 200 na kuwe na galaxy billion 200 unapata nyota 4,000,000,000,000,000,000 zilizopo katika eneo lenye radius ya 13.5 light years, to put a light year which is a unit of distance, not time, in perspective the 150 million kms to the sun is a mere 7 light seconds.

Do you still think you are all that?

Yes Pundit, we are made of stars. Na ni mavumbi na tutarudi mavumbi na kupotea na kusahaulika ndani ya cosmos!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom