So uganda is now the best Entrepreneurial country in the world

Geoffrey Eng Atkinson

Senior Member
Mar 22, 2017
199
159
So uganda has taken the first possition as the best Entrepreneurial country in the world: From what i know about uganda is:

-> It doesnt have the best government so far
-> Much weak currency compared to other nations( Tanzania, Kenya, Rwanda)
-> A poor country

:
but what happend to the youths of other nations like Tanzania?
 
So uganda has taken the first possition as the best Entrepreneurial country in the world: From what i know about uganda is:

-> It doesnt have the best government so far
-> Much weak currency compared to other nations( Tanzania, Kenya, Rwanda)
-> A poor country

:
but what happend to the youths of other nations like Tanzania?
Baada ya kukimbiza wahindi biashara nyingi kama si zote zinafanywa na wazawa. Tembea uone hao watu wana business skills na Mu7 haingillii mambo ya wananchi isipokua wanasiasa
 
Naunga mkono utafiti huu kwani wafanyabiashara na wakulima wa Uganda wanathaminiwa sana na serikali,Mimi huwa najiuliza wanaotaka kumtoa mseven wanataka wamuweke nani
 
Naunga mkono utafiti huu kwani wafanyabiashara na wakulima wa Uganda wanathaminiwa sana na serikali,Mimi huwa najiuliza wanaotaka kumtoa mseven wanataka wamuweke nani

ila nahisi kwenye hio video wamegeneralise: so it means wana skills zaidi ya ukulima maaana wamechukua nafasi ya kwanza kwamba wameipita hadi nchi zilizoendelea
 
Back
Top Bottom