Ginner
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 1,459
- 1,832
Shekhe
mmoja wa makamu na heshima zake alikuwa
anatembea njiani siku moja... Mara akamuona mtoto
wa kama miaka 5 akijaribu sana kubonyeza kengere ya
nje ya mlangoni wa nyumba fulani bila mafanikio
kutokana na ufupi wake na kengele kuwa juu sana...
Basi Shekhe baada ya kumuangalia sana kwa hekima
yule dogo akiangaika bila mafanikio ndipo akaamua
kwenda karibu kumsaidia kwa huruma...
Akasogea kwa ustaarabu mpaka nyuma ya dogo,
akainama na kumuomba amsaidie kubonyeza ile
kengele ya mlangoni... Dogo kwa furaha zote akakubali
tena kwa tabasamu kubwa.. Baada ya yule Shekhe
kumsaidia kubonyeza ile kengele mara 2 ndipo
akamuuliza dogo kama kuna kingine...
Yule dogo kwa tabasamu kubwa akamjibu huku
akianza toka nduki...
"Hakuna kingine zaidi ya kukimbia tukajifiche kabla
mwenyewe hajatoka...."
mmoja wa makamu na heshima zake alikuwa
anatembea njiani siku moja... Mara akamuona mtoto
wa kama miaka 5 akijaribu sana kubonyeza kengere ya
nje ya mlangoni wa nyumba fulani bila mafanikio
kutokana na ufupi wake na kengele kuwa juu sana...
Basi Shekhe baada ya kumuangalia sana kwa hekima
yule dogo akiangaika bila mafanikio ndipo akaamua
kwenda karibu kumsaidia kwa huruma...
Akasogea kwa ustaarabu mpaka nyuma ya dogo,
akainama na kumuomba amsaidie kubonyeza ile
kengele ya mlangoni... Dogo kwa furaha zote akakubali
tena kwa tabasamu kubwa.. Baada ya yule Shekhe
kumsaidia kubonyeza ile kengele mara 2 ndipo
akamuuliza dogo kama kuna kingine...
Yule dogo kwa tabasamu kubwa akamjibu huku
akianza toka nduki...
"Hakuna kingine zaidi ya kukimbia tukajifiche kabla
mwenyewe hajatoka...."