Snowden amuomba Trump amuachie Julian Assange kizuizini nchini United Kingdom kabla hajahukumiwa

snow snow

Senior Member
Sep 12, 2014
118
88
Brightone Chonjo
Snowden amuomba Trump amuachie Julian Assange kizuizini nchini United Kingdom kabla hajahukumiwa.

Snowden ni mdukuzi (Hacker) ambaye alikuwa ameajiriwa na serikali ya marekani kitengo cha ujasusi yani (CIA) alifukuzwa kazi baada ya ku kopi na kusambaza habari za siri za marekani na ndipo alipo kimbilia Russia walipo mpa hifadhi mpaka sasa, amemuomba raisi anae maliza muhula wake Trump kumuachia Assange ambaye huyu ni ni raia wa Australia ambaye kazi yake ni mwandishi wa habari lakini anauwezo wa kuhariri na kutoa kwa uma na bado ni mwanaharakati hasa kwa mabo ya marekani .

Ambapo aliweka hadharani habari za vita mauaji na matumizi ya silaha mbalimbali za Marekani kwenye magazeti ya Marekani kama Washington Post na New York Times ambapo kikawaida hilo ni kosa kubwa sana la kiusalama wa taifa (National security ), yani kwa Tanzania tukute habari za jeshi zile nyeti kwenye Nipashe hahaha.

Sasa ukiangalia hapa maana yake Snowden alikuwa anadukua anampa rafiki yake Assange anaweka kwenye magazeti , ufahamu kuwa Assange alisha shikwa kwa makosa mengine ya kiudhalilishaji wa kingono na sweden alipo achiwa akapata hifadhi UK na ndipo alipo shikwa na serikali ya kule baada ya marekani kutoa tamko kuwa anamadai ya kuweka hadharani habari nyeti hapo ikiwa ni 2016 kwenye uchaguzi wa marekani ambapo WikiLeaks waliposti baadhi ya habari hizo....lakini 23 may 2019 ndipo alipo kamatwa UK uchunguzi ukiendelea na endapo atagundulika na makosa atafungwa miaka 175.

mwezi uliopita patna wake stella ali post picha za watoto wake wawili twiter kwamba wanamhitaji nyumbani.
 
huyo anaeandika vitabu vya ujasusi haongelei haya sijui source ya wapi hiyo
 
Brightone Chonjo
Snowden amuomba Trump amuachie Julian Assange kizuizini nchini United Kingdom kabla hajahukumiwa.
Snowden ni mdukuzi (Hacker) ambaye alikuwa ameajiriwa na serikali ya marekani kitengo cha ujasusi yani (CIA) alifukuzwa kazi baada ya ku kopi na kusambaza habari za siri za marekani na ndipo alipo kimbilia Russia walipo mpa hifadhi mpaka sasa, amemuomba raisi anae maliza muhula wake Trump kumuachia Assange ambaye huyu ni ni raia wa Australia ambaye kazi yake ni mwandishi wa habari lakini anauwezo wa kuhariri na kutoa kwa uma na bado ni mwanaharakati hasa kwa mabo ya marekani .
Ambapo aliweka hadharani habari za vita mauaji na matumizi ya silaha mbalimbali za marekani kwenye magazeti ya marekani kama washington post na new york times ambapo kikawaida hilo ni kosa kubwa sana la kiusalama wa taifa (National security ), yani kwa tanzania tukute habari za jeshi zile nyeti kwenye Nipashe hahaha, sasa ukiangalia hapa maana yake Snowden alikuwa anadukua anampa rafiki yake Assange anaweka kwenye magazeti , ufahamu kuwa Assange alisha shikwa kwa makosa mengine ya kiudhalilishaji wa kingono na sweden alipo achiwa akapata hifadhi UK na ndipo alipo shikwa na serikali ya kule baada ya marekani kutoa tamko kuwa anamadai ya kuweka hadharani habari nyeti hapo ikiwa ni 2016 kwenye uchaguzi wa marekani ambapo WikiLeaks waliposti baadhi ya habari hizo....lakini 23 may 2019 ndipo alipo kamatwa UK uchunguzi ukiendelea na endapo atagundulika na makosa atafungwa miaka 175.
mwezi uliopita patna wake stella ali post picha za watoto wake wawili twiter kwamba wanamhitaji nyumbani.
#wikileaks #snowden #FreeAssange #Classfiedinformation #Confidential #Russiatoday
Tuwakumbushe watawala wa Afrika kuwa kushika hatamu hakukufanyi ugeuke kuwa
1. injinia,
2. daktari bingwa,
3. mhasibu mbobezi,
4. mwanasayansi wa viwango vya NASA
5. au mtaalam zaidi!

Therefore your power doesn’t suddenly increase your knowledge or qualify you to be anything more than you were! Waache u-much-know na upumbavu, wawe humble!
 
Brightone Chonjo
Snowden amuomba Trump amuachie Julian Assange kizuizini nchini United Kingdom kabla hajahukumiwa.
Snowden ni mdukuzi (Hacker) ambaye alikuwa ameajiriwa na serikali ya marekani kitengo cha ujasusi yani (CIA) alifukuzwa kazi baada ya ku kopi na kusambaza habari za siri za marekani na ndipo alipo kimbilia Russia walipo mpa hifadhi mpaka sasa, amemuomba raisi anae maliza muhula wake Trump kumuachia Assange ambaye huyu ni ni raia wa Australia ambaye kazi yake ni mwandishi wa habari lakini anauwezo wa kuhariri na kutoa kwa uma na bado ni mwanaharakati hasa kwa mabo ya marekani .
Ambapo aliweka hadharani habari za vita mauaji na matumizi ya silaha mbalimbali za marekani kwenye magazeti ya marekani kama washington post na new york times ambapo kikawaida hilo ni kosa kubwa sana la kiusalama wa taifa (National security ), yani kwa tanzania tukute habari za jeshi zile nyeti kwenye Nipashe hahaha, sasa ukiangalia hapa maana yake Snowden alikuwa anadukua anampa rafiki yake Assange anaweka kwenye magazeti , ufahamu kuwa Assange alisha shikwa kwa makosa mengine ya kiudhalilishaji wa kingono na sweden alipo achiwa akapata hifadhi UK na ndipo alipo shikwa na serikali ya kule baada ya marekani kutoa tamko kuwa anamadai ya kuweka hadharani habari nyeti hapo ikiwa ni 2016 kwenye uchaguzi wa marekani ambapo WikiLeaks waliposti baadhi ya habari hizo....lakini 23 may 2019 ndipo alipo kamatwa UK uchunguzi ukiendelea na endapo atagundulika na makosa atafungwa miaka 175.
mwezi uliopita patna wake stella ali post picha za watoto wake wawili twiter kwamba wanamhitaji nyumbani.
#wikileaks #snowden #FreeAssange #Classfiedinformation #Confidential #Russiatoday
P
 
Kuna facts mbili hapo unapotosha;

1. Snowden hakuwa mwajiriwa wa CIA bali NSA.

2. Snowden hakuwahi kufukuzwa kazi bali aliacha kazi na kutorokea huko ughaibuni aliko mpaka sasa.
Alikuwa CIA badae NSA
 
Snowden alikuk=wa muajiriwa wa Booz Allen security firm,Hawa walIkuwa wanafanya consultancy NSA.So Snowden alikuwa consultant NSA ila muajiriwa wa Booz Allen security..
Upo sawa mkuu

20201207_091717.jpg
 
Alikuwa CIA badae NSA

Assange aliwahi kuishi Tanzania, binafsi namshangaa Trump ni kwa nini hajamwachia Assange mpaka sasa - given kwamba yeye ndiye alimsaidia Trump kupata ushndi baada kuanika adhalani mafaili ya siri kuhusu matendo ya kidhalimu ya mshindani wake Bi. Hillary Clinton - nakumbuka Trump aliwahi kumuomba Assange a release mafaili zaidi yanayo muhusu Hillary alipo kuwa waziri wa mambo ya nje wakati wa utawala wa Obama.
 
Assange aliwahi kuishi Tanzania, binafsi namshangaa Trump ni kwa nini hajamwachia Assange mpaka sasa - given kwamba yeye ndiye alimsaidia Trump kupata ushndi baada kuanika adhalani mafaili ya siri kuhusu matendo ya kidhalimu ya mshindani wake Bi. Hillary Clinton - nakumbuka Trump aliwahi kumuomba Assange a release mafaili zaidi yanayo muhusu Hillary alipo kuwa waziri wa mambo ya nje wakati wa utawala wa Obama.
Shida ya marekani hakuna muhimili ulio jichimbia chini zaidi ya mihili mingine
 
Shida ya marekani hakuna muhimili ulio jichimbia chini zaidi ya mihili mingine
Sasa hiyo ni shida au neema kwa wamarekani? Kwako ambapo mhimili mmoja umejichimbia unaneemeka na nini kama mwananchi wa kawaida?
Unasikilizwa kama mwananchi?
Mikataba inawekwa wazi?
Matumizi ya fedha za umma yanawekwa wazi?
Sheria zinatungwa kwa kufuata uwiano/ mawazo ya wawakilishi wa wananchi no ndiooooo?
Vyombo vya habari viko huru kuchapisha habari yoyote?
Ni mengi wacha niishie hapo......
 
Ndio mnavyoaminishwa na media,Haya sasa anaondoka afu tuone kama huo ubaguzi utaisha marekani...
Media zimememchafua sana Trump. Ila ni kiongozi sahihi sana kwa sasa kutokana na misimamo yake na hana unafiki kama wa kina obama
 
Media zimememchafua sana Trump. Ila ni kiongozi sahihi sana kwa sasa kutokana na misimamo yake na hana unafiki kama wa kina obama
Huwa nashangaa sana watu kumlaumu Trump kuhusu ubaguzi,kama ni issue ya ubaguzi kule marekani ni issue ya mfumo zaidi kuliko mtu mmoja mmoja..Yaani hadi kujenga ukuta,media waliaminisha watu eti ni ubaguzi wa rangi,na mijitu ilikubali tu.Wakiulizwa kuna uhusiano gani kati ya kujenga ukuta na rangi ya mtu,hawana majibu..
 
Kuna facts mbili hapo unapotosha;

1. Snowden hakuwa mwajiriwa wa CIA bali NSA.

2. Snowden hakuwahi kufukuzwa kazi bali aliacha kazi na kutorokea huko ughaibuni aliko mpaka sasa.
Mzee baba unadhalilika hivihivi

Edward Joseph Snowden (born June 21, 1983) is an American whistleblower who copied and leaked highly classified information from the National Security Agency (NSA) in 2013 when he was a Central Intelligence Agency (CIA) employee and subcontractor.

Halafu unachopaswa kujua NSA ni branch ya intelligence ikiwa imejikita zaidi kwenye technology
 
Back
Top Bottom